19 Na munapaswa kupiga kambi inje ya kambi kwa siku saba (7). Kila mumoja kati yenu mwenye ameua mutu na kila mumoja kati yenu mwenye amegusa mutu mwenye aliuawa+ anapaswa kujitakasa+ siku ya tatu (3) na siku ya saba, ninyi na watu wenu wenye walikamatwa mateka.