-
Yoshua 24:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kisha Balaki mwana wa Sipori, mufalme wa Moabu, akakuja kupigana na Israeli. Basi akaita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+
-
-
Nehemia 13:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa katika masikio ya watu,+ na ndani yake ikavumbuliwa kwamba ilikuwa imeandikwa kuwa Mwamoni ao Mumoabu+ hawapaswe hata kidogo kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuenda kupokea Waisraeli na mukate na maji, lakini walimulipa Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana hiyo kuwa baraka.+
-