Hesabu 24:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Na Edomu itakuwa uriti,+Ndiyo, Seiri+ uriti wa maadui wake,+Wakati Israeli atakuwa anaonyesha uhodari wake. 2 Samweli 8:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Akaweka kambi za kijeshi katika Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika Edomu yote, na Waedomu wote wakakuwa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimupatia Daudi ushindi* kila mahali kwenye alienda.+
18 Na Edomu itakuwa uriti,+Ndiyo, Seiri+ uriti wa maadui wake,+Wakati Israeli atakuwa anaonyesha uhodari wake.
14 Akaweka kambi za kijeshi katika Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika Edomu yote, na Waedomu wote wakakuwa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimupatia Daudi ushindi* kila mahali kwenye alienda.+