-
Zaburi 105:27-36Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Walifanya alama zake kati yao,
Miujiza yake katika inchi ya Hamu.+
28 Alituma giza na inchi ikakuwa giza;+
Hawakuasi maneno yake.
29 Alibadilisha maji yao kuwa damu
Na kuua samaki wao.+
30 Inchi yao ikajaa vyura,+
Hata katika vyumba vya kifalme.
31 Aliagiza mainzi wavamie
Na imbu katika maeneo yao yote.+
33 Alipiga mizabibu yao na miti yao ya tini
Na kuvunja-vunja miti ya eneo lao.
34 Alisema nzige wavamie,
Nzige wadogo wenye hawakukuwa na hesabu.+
35 Walikula mimea yote katika inchi,
Na walimeza mazao ya udongo.
36 Kisha akapiga na kuua kila muzaliwa wa kwanza katika inchi yao,+
Mwanzo wa nguvu zao za uzazi.
-