1 Wafalme 9:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Na wewe, kama unatembea mbele yangu kama vile baba yako Daudi alitembea,+ kwa uaminifu-mushikamanifu wa moyo+ na kwa unyoofu,+ kwa kufanya mambo yote yenye nimekuamuru,+ na kama unatii masharti yangu na hukumu zangu,+ Zaburi 78:70 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 70 Alimuchagua Daudi+ mutumishi wakeNa kumutosha katika mazizi* ya kondoo,+ Zaburi 78:72 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 72 Aliwachunga kwa uaminifu-mushikamanifu wa moyo,+Na aliwaongoza kwa mikono yenye ufundi.+
4 Na wewe, kama unatembea mbele yangu kama vile baba yako Daudi alitembea,+ kwa uaminifu-mushikamanifu wa moyo+ na kwa unyoofu,+ kwa kufanya mambo yote yenye nimekuamuru,+ na kama unatii masharti yangu na hukumu zangu,+
70 Alimuchagua Daudi+ mutumishi wakeNa kumutosha katika mazizi* ya kondoo,+ Zaburi 78:72 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 72 Aliwachunga kwa uaminifu-mushikamanifu wa moyo,+Na aliwaongoza kwa mikono yenye ufundi.+