Nehemia 9:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 “Lakini, mababu zetu, walitenda kwa kimbelembele+ na walikuwa kichwa-nguvu,*+ na hawakukuwa wanasikiliza amri zako. Zaburi 78:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye kiko kichwa-nguvu na chenye kuasi,+Kizazi chenye kilikuwa na moyo wenye kuyumba-yumba*+Na chenye hakikukuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.
16 “Lakini, mababu zetu, walitenda kwa kimbelembele+ na walikuwa kichwa-nguvu,*+ na hawakukuwa wanasikiliza amri zako.
8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye kiko kichwa-nguvu na chenye kuasi,+Kizazi chenye kilikuwa na moyo wenye kuyumba-yumba*+Na chenye hakikukuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.