Zaburi 2:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa kusema: “Mimi mwenyewe nimemuweka mufalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mulima wangu mutakatifu.” Zaburi 72:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Atakuwa na raia* kutoka bahari mupaka bahariNa kutoka ule Muto* mupaka kwenye miisho ya dunia.+ Isaya 9:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana mutoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani. Ufunuo 11:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+
6 Kwa maana mutoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani.
15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+