Zaburi 3:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Wengi wanasema kunihusu:* “Mungu hatamuokoa.”+ (Sela)* Zaburi 71:10, 11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Maadui wangu wanasema mubaya juu yangu,Na wale wenye kutafuta kuondoa uzima wangu* wanafanya pamoja mupango mubaya,+11 Kwa kusema: “Mungu amemuacha. Mumufuatilie na kumukamata, kwa maana hakuna mutu wa kumuokoa.”+
10 Maadui wangu wanasema mubaya juu yangu,Na wale wenye kutafuta kuondoa uzima wangu* wanafanya pamoja mupango mubaya,+11 Kwa kusema: “Mungu amemuacha. Mumufuatilie na kumukamata, kwa maana hakuna mutu wa kumuokoa.”+