Kumbukumbu la Torati 23:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 “Kama unafanya naziri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako hakika atakudai naziri hiyo; kama sivyo, utakuwa umetenda zambi.+ Zaburi 76:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Muweke naziri zenu kwa Yehova Mungu wenu na kuzitimiza,+Acha wote wenye kumuzunguka walete zawadi yao kwa woga.+ Muhubiri 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+
21 “Kama unafanya naziri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako hakika atakudai naziri hiyo; kama sivyo, utakuwa umetenda zambi.+
11 Muweke naziri zenu kwa Yehova Mungu wenu na kuzitimiza,+Acha wote wenye kumuzunguka walete zawadi yao kwa woga.+
4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+