Zaburi 120:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mugeni katika Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+ Ezekieli 27:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Ulitumikisha Waarabu na wakubwa wote wa Kedari,+ wenye walikuwa wafanyabiashara wa wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi.+
5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mugeni katika Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+
21 Ulitumikisha Waarabu na wakubwa wote wa Kedari,+ wenye walikuwa wafanyabiashara wa wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi.+