-
Yeremia 50:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 “Mukimbie kutoka katikati ya Babiloni,
Mutoke katika inchi ya Wakaldayo,+
Na mukuwe kama wanyama wenye kuongoza mbele ya kundi.
-
-
Yeremia 51:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
Musiangamie kwa sababu ya kosa lake.
Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.
Anamulipa kulingana na yenye ametenda.+
-