Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wimbo wa Sulemani

    • KIJANA MWANAMUKE MUSHULAMI KATIKA KAMBI YA SULEMANI (1:1–3:5)

Wimbo wa Sulemani 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 2:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 31

Wimbo wa Sulemani 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 31

Wimbo wa Sulemani 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Wimbo wa Sulemani 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba ya divai.”

Wimbo wa Sulemani 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:11, 12

Wimbo wa Sulemani 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 8:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 18

Wimbo wa Sulemani 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:18
  • +Wim 3:5; 8:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 31

    15/11/2006, uku. 18-19

Wimbo wa Sulemani 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 2:17; 8:14

Wimbo wa Sulemani 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 32

Wimbo wa Sulemani 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kipindi cha mvua.”

Wimbo wa Sulemani 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 6:11
  • +Isa 18:5; Yoh 15:2
  • +Yer 8:7

Wimbo wa Sulemani 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 28:4; Nah 3:12

Wimbo wa Sulemani 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 5:2; Yer 48:28
  • +Wim 8:13
  • +Wim 1:5; 6:10

Wimbo wa Sulemani 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 7:10
  • +Wim 1:7
  • +Wim 2:1; 6:3

Wimbo wa Sulemani 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “siku itapumua.”

  • *

    Ao pengine, “milima yenye mipasuko.” Ao “milima ya Beteri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:18
  • +Wim 2:9; 8:14

Maandiko ingine

Wim. 2:1Wim 2:16
Wim. 2:51 Sa. 30:11, 12
Wim. 2:6Wim 8:3
Wim. 2:72 Sa. 2:18
Wim. 2:7Wim 3:5; 8:4
Wim. 2:9Wim 2:17; 8:14
Wim. 2:12Wim 6:11
Wim. 2:12Isa 18:5; Yoh 15:2
Wim. 2:12Yer 8:7
Wim. 2:13Isa 28:4; Nah 3:12
Wim. 2:14Wim 5:2; Yer 48:28
Wim. 2:14Wim 8:13
Wim. 2:14Wim 1:5; 6:10
Wim. 2:16Wim 7:10
Wim. 2:16Wim 1:7
Wim. 2:16Wim 2:1; 6:3
Wim. 2:172 Sa. 2:18
Wim. 2:17Wim 2:9; 8:14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wimbo wa Sulemani 2:1-17

Wimbo wa Sulemani

2 “Niko tu ua la zafarani la eneo tambarare la pembeni ya bahari,

Ua la yungiyungi la mabonde.”+

 2 “Kama ua la yungiyungi kati ya miiba

Ni vile mupenzi wangu iko* kati ya mabinti.”

 3 “Kama muti wa tofaa kati ya miti ya pori,

Ni vile mupenzi wangu iko* kati ya wana.

Ninatamani sana kukaa katika kivuli chake,

Na tunda lake ni tamu katika kinywa changu.

 4 Aliniingiza katika nyumba ya karamu,*

Na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo.

 5 Uniburudishe kwa keki za zabibu;+

Unitegemeze kwa matunda ya matofaa,

Kwa maana ninagonjwa ugonjwa wa mapenzi.

 6 Mukono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,

Na mukono wake wa kuume unanikumbatia.+

 7 Ninawaapisha, Enyi mabinti wa Yerusalemu,

Kwa swala+ na paa wa pori:

Musijaribu kuamusha ao kuchochea upendo ndani yangu mupaka wakati huo wenyewe utataka.+

 8 Sauti ya mupendwa wangu!

Angalia! Anakuja,

Akipanda milima, na kuruka vilima.

 9 Mupenzi wangu ni kama swala, kama paa mudogo.+

Yeye ule, amesimama nyuma ya ukuta wetu,

Anachungulia katika madirisha,

Anaangalia kupitia kayungio za madirisha.

10 Mupenzi wangu anasema, ananiambia:

‘Simama, mupenzi wangu,

Muzuri wangu, kuja tuende zetu.

11 Angalia! Kipindi cha baridi* kimepita.

Mvua imeisha na imeenda zake.

12 Maua yametokea katika inchi,+

Wakati wa kukata matawi umefika,+

Na wimbo wa njiwa-tetere umesikiwa katika inchi yetu.+

13 Muti wa tini unakomalisha tini za kwanza-kwanza;+

Mizabibu imetoa maua na inatoa harufu ya muzuri.

Simama, mupenzi wangu, na ukuje.

Muzuri wangu, kuja tuende zetu.

14 Ee njiwa wangu, katika mapango ya miamba,+

Sehemu za ndani kabisa za muteremuko mukali,

Acha nikuone na kusikia sauti yako,+

Kwa maana sauti yako ni yenye kupendeza na sura yako ni yenye kuvutia.’”+

15 “Mutukamatie mbweha,

Mbweha wadogo wenye wanaharibu mashamba ya mizabibu,

Kwa maana mashamba yetu ya mizabibu yametoa maua.”

16 “Mupenzi wangu ni wangu na mimi ni wake.+

Anachunga wanyama+ kati ya maua ya mayungiyungi.+

17 Mupaka wakati upepo mutulivu utavuma* na vivuli kukimbia,

Rudia haraka, Ee mupenzi wangu,

Kama swala+ ao paa mudogo+ juu ya milima ya kutenganisha.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine