Utie Nguvu Imani Yako!
ASUBUI
3:40 (9:40) Muziki
3:50 (9:50) Wimbo Na. 119 na Sala
4:00 (10:00) Juu ya Nini Tunapaswa Kutia Nguvu Imani Yetu Sasa?
4:15 (10:15) Je Unaona “Ule Mwenye Haonekane”?
4:30 (10:30) “Imani Inafuata Mambo Yenye Ilisikiwa”
4:55 (10:55) Wimbo Na. 104 na Matangazo
5:05 (11:05) “Tunda la Roho ni . . . Imani”
5:35 (11:35) Hotuba ya Ubatizo
6:05 (12:05) Wimbo Na. 50
KISHA MIDI
7:20 (13:20) Muziki
7:30 (13:30) Wimbo Na. 3
7:35 (13:35) Mambo Yenye Wahubiri Walikutana Nayo
7:45 (13:45) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
8:15 (14:15) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Saidia Wengine Watie Nguvu Imani Yao
• Saidia Kijana Wako
• Saidia Mwanafunzi Wako wa Biblia
• Saidia Wakristo Wenzako
9:00 (15:00) Wimbo Na. 38 na Matangazo
9:10 (15:10) ‘Kaza Macho kwa Uangalifu Juu ya Kiongozi Mukubwa na Mukamilishaji wa Imani Yetu’
9:55 (15:55) Wimbo Na. 126 na Sala