Tuingie Katika Pumuziko ya Mungu!
Asubui
3:40 (9:40) Muziki
3:50 (9:50) Wimbo Na. 87 na Sala
4:00 (10:00) Namna Gani Tunaweza Kuingia Katika Pumuziko ya Mungu?
4:15 (10:15) “Neno la Mungu Liko na Uzima”—Maana Yake Nini?
4:30 (10:30) Uendelee Kutumainia Muongozo wa Yehova
4:55 (10:55) Wimbo Na. 89 na Matangazo
5:05 (11:05) Yehova Anabariki Wenye Kutii
5:35 (11:35) Hotuba ya Ubatizo
6:05 (12:05) Wimbo Na. 32
Kisha Midi
7:20 (13:20) Muziki
7:30 (13:30) Wimbo Na. 49
7:35 (13:35) Mambo Yenye Wahubiri Walikutana Nayo
7:45 (13:45) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
8:15 (14:15) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Wanafurahisha Moyo wa Yehova!
• Vijana
• Dada
• Wenye Kuzeeka
9:00 (15:00) Wimbo Na. 38 na Matangazo
9:10 (15:10) Upate Furaha Wakati Unamutumikia Yehova
9:55 (15:55) Wimbo Na. 118 na Sala