Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 118
  • ‘Unipatie Imani Zaidi’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Unipatie Imani Zaidi’
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tunapaswa Kuwa na Imani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • ‘Utupatie Imani Zaidi’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Imani​—Sifa Yenye Inatutia Nguvu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 118

WIMBO 118

‘Unipatie Imani Zaidi’

Maandishi

(Luka 17:5)

  1. 1. Kwa sababu niko mutenda-zambi,

    Moyo wangu ni mudanganyifu;

    Njo maana ninakukoseaka

    Na kukosa kuwa na imani.

    (REFREE)

    Baba yangu, Mungu mwenye rehema

    Nakuomba unihurumie.

    Unipatie imani zaidi

    Ili nikusifu kwa matendo.

  2. 2. Bila imani haiwezekane

    Mutu afurahishe Yehova.

    Na imani ni kama ngao kubwa,

    Inatulinda tusiogope.

    (REFREE)

    Baba yangu, Mungu mwenye rehema

    Nakuomba unihurumie.

    Unipatie imani zaidi

    Ili nikusifu kwa matendo.

(Ona pia Mwa. 8:21; Ebr. 11:6; 12:1.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine