Ufurahishe Moyo wa Yehova!
ASUBUI
3:30 (9:30) Muziki
3:40 (9:40) Wimbo Na. 29 na Sala
3:50 (9:50) Ufurahishe Moyo wa Yehova!
4:05 (10:05) Hotuba Yenye Sehemu Ine: Tuige Sifa Ine za Yehova
• Haki
• Namna Anatumia Nguvu Zake
• Hekima
• Upendo
5:05 (11:05) Wimbo Na. 81 na Matangazo
5:15 (11:15) Umutukuze Mungu kwa “Kuzaa Matunda Mengi”
5:30 (11:30) Hotuba ya Ubatizo
6:00 (12:00) Wimbo Na. 49
KISHA MIDI
7:10 (13:10) Muziki
7:20 (13:20) Wimbo Na. 28 na Sala
7:30 (13:30) Hotuba ya Watu Wote: Unaweza Kufanya Nini ili Umufurahishe Mungu?
8:00 (14:00) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
8:30 (14:30) Wimbo Na. 35 na Matangazo
8:40 (14:40) Hotuba Yenye Sehemu Ine: Umufurahishe Yehova . . .
• Mu Maisha Yako ya Kipekee
• Mu Familia
• Mu Kutaniko
• Mu Eneo Lenu
9:40 (15:40) “Shangwe ya Yehova Ni Nguvu Yenu”
10:15 (16:15) Wimbo Na. 110 na Sala