“Mukuwe na Imani”!
ASUBUI
3:30 (9:30) Muziki
3:40 (9:40) Wimbo Na. 118 na sala
3:50 (9:50) “Mukuwe na Imani”!—Namna Gani na juu ya Nini?
4:05 (10:05) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Iga Wale Wenye Walikuwa na Imani
• Isaka na Rebeka
• Esta
• Timoteo
5:05 (11:05) Wimbo Na. 60 na Matangazo
5:15 (11:15) ‘Tunaonyesha Imani, Kwa Hiyo Tunasema’
5:30 (11:30) Hotuba ya Ubatizo
6:00 (12:00) Wimbo Na. 52
KISHA MIDI
7:10 (13:10) Muziki
7:20 (13:20) Wimbo Na. 9 na sala
7:30 (13:30) Hotuba ya Watu Wote: Ukuwe na Imani Katika Mungu “Mwenye Hawezi Kusema Uongo”
8:00 (14:00) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
8:30 (14:30) Wimbo Na. 54 na Matangazo
8:40 (14:40) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: ‘Tembea Kwa Imani’ Kila Siku
• ‘Usihangaike Hata Kidogo’
• Utumie ‘Muzuri Zaidi Wakati Yako’
• ‘Usikuwe Sehemu ya Ulimwengu’
9:40 (15:40) “Yehova Anajua Wenye Kuwa Wake”
10:15 (16:15) Wimbo Na. 7 na sala