Mukusanyiko wa Muzunguko wa Mashahidi wa Yehova
Programu ya 2016-2017
Kichwa: Tia Nguvu Imani Yako Katika Yehova!—Ebr. 11:6.
Asubui
3:30 (9:30) Muziki
3:40 (9:40) Wimbo Na. 12 na Sala
3:50 (9:50) Katika Hali Zote, ‘Mukuwe na Imani Katika Mungu’
4:05 (10:05) Hotuba Yenye Sehemu Ine: Maneno ya Mufano Yenye Kutuchochea Tukuwe na Imani Katika Yehova
Ngao
Baba
Mwamba
Muchungaji
5:05 (11:05) Wimbo Na. 22 na Matangazo
5:15 (11:15) “Unisaidie Mahali Ambapo Ninahitaji Imani!”
5:30 (11:30) Hotuba ya Ubatizo
6:00 (12:00) Wimbo Na. 7
Kisha Midi
7:10 (13:10) Muziki
7:20 (13:20) Wimbo Na. 54 na Sala
7:30 (13:30) Hotuba ya Watu Wote: Imani ya Kweli Ni Nini, na Namna Gani Inaonyeshwa?
8:00 (14:00) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
8:30 (14:30) Wimbo Na. 30 na Matangazo
8:40 (14:40) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: ‘Tuondoe . . . Zambi Ambayo Inatutatanisha kwa Urahisi’
Yehova Atamaliza Uovu
Yehova Atakutimizia Mahitaji Yako ya Lazima
Yehova Atafufua Wafu
9:40 (15:40) Zawadi Zenye Unavuna Wakati Unaonyesha Imani ya Kweli
10:15 (16:15) Wimbo Na. 43 na Sala