Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 89
  • Tii juu Ubarikiwe

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tii juu Ubarikiwe
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uko “Tayari Kutii”?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Tuwafundishe ili Wapate Uzima wa Milele
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Weye Ni wa Nani?
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ninajitoa kwa Mungu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 89

WIMBO 89

Tii juu Ubarikiwe

Maandishi

(Luka 11:28)

  1. 1. Tukimusikiliza Yesu Kristo

    Na kutii mafundisho yake,

    Tutakuwa na furaha kabisa,

    Na Yehova atatubariki.

    (REFREE)

    Tii ubarikiwe.

    Usikilize Mungu.

    Kisha utakuwa na furaha.

    Tii ubarikiwe.

  2. 2. Tukiacha Yesu atuongoze

    Tutakuwa na nguvu kabisa.

    Na tutakuwa sawa vile nyumba

    Yenye kujengwa ku jiwe kubwa.

    (REFREE)

    Tii ubarikiwe.

    Usikilize Mungu.

    Kisha utakuwa na furaha.

    Tii ubarikiwe.

  3. 3. Na kama miti pembeni ya maji

    Yenye kuzala matunda mingi;

    Ni vile tukimutii Yehova

    Tutapata baraka za mingi.

    (REFREE)

    Tii ubarikiwe.

    Usikilize Mungu.

    Kisha utakuwa na furaha.

    Tii ubarikiwe.

(Ona pia Kum. 28:2; Zb. 1:3; Mez. 10:22; Mt. 7:24-27; Lu. 6:47-49.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine