WIMBO 89
Tii juu Ubarikiwe
Maandishi
1. Tukimusikiliza Yesu Kristo
Na kutii mafundisho yake,
Tutakuwa na furaha kabisa,
Na Yehova atatubariki.
(REFREE)
Tii ubarikiwe.
Usikilize Mungu.
Kisha utakuwa na furaha.
Tii ubarikiwe.
2. Tukiacha Yesu atuongoze
Tutakuwa na nguvu kabisa.
Na tutakuwa sawa vile nyumba
Yenye kujengwa ku jiwe kubwa.
(REFREE)
Tii ubarikiwe.
Usikilize Mungu.
Kisha utakuwa na furaha.
Tii ubarikiwe.
3. Na kama miti pembeni ya maji
Yenye kuzala matunda mingi;
Ni vile tukimutii Yehova
Tutapata baraka za mingi.
(REFREE)
Tii ubarikiwe.
Usikilize Mungu.
Kisha utakuwa na furaha.
Tii ubarikiwe.
(Ona pia Kum. 28:2; Zb. 1:3; Mez. 10:22; Mt. 7:24-27; Lu. 6:47-49.)