WIMBO 40
Weye Ni wa Nani?
Maandishi
1. Weye ni wa nani?
Uko natii nani?
Mungu wako ni ule mwenye
Unatolea ibada.
Hauwezi kuwa
Na miungu wawili.
Ku mwisho utachukia moja
na kupenda mwingine.
2. Weye ni wa nani?
Uko natii nani?
Kuko wa kweli na muongo,
Sasa ujichagulie.
Je, ni serikali
njo utatumikia?
Ao Yehova njo utatii
na kumutumikia?
3. Miye ni wa nani?
Nachagua Yehova.
Ni yeye nitatumikia
Mu maisha yangu yote.
Niko mali yake.
Nimejitoa kwake.
Nitashikamana na yeye tu,
Na kumuheshimia.
(Ona pia Yos. 24:15; Zb. 116:14, 18; 2 Ti. 2:19.)