Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 40
  • Weye Ni wa Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Weye Ni wa Nani?
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uko “Tayari Kutii”?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Atakupatia Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tii juu Ubarikiwe
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tukuwe Washikamanifu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 40

WIMBO 40

Weye Ni wa Nani?

Maandishi

(Waroma 14:8)

  1. 1. Weye ni wa nani?

    Uko natii nani?

    Mungu wako ni ule mwenye

    Unatolea ibada.

    Hauwezi kuwa

    Na miungu wawili.

    Ku mwisho utachukia moja

    na kupenda mwingine.

  2. 2. Weye ni wa nani?

    Uko natii nani?

    Kuko wa kweli na muongo,

    Sasa ujichagulie.

    Je, ni serikali

    njo utatumikia?

    Ao Yehova njo utatii

    na kumutumikia?

  3. 3. Miye ni wa nani?

    Nachagua Yehova.

    Ni yeye nitatumikia

    Mu maisha yangu yote.

    Niko mali yake.

    Nimejitoa kwake.

    Nitashikamana na yeye tu,

    Na kumuheshimia.

(Ona pia Yos. 24:15; Zb. 116:14, 18; 2 Ti. 2:19.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine