Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 38
  • Atakupatia Nguvu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Atakupatia Nguvu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tunapaswa Kuwa na Imani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Kujitayarisha juu ya Kuhubiri
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Umurudilie ‘Muchungaji na Mwangalizi wa Nafsi Zetu’
    Umurudilie Yehova
  • Tukuwe na Nguvu na Tusitikisike!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 38

WIMBO 38

Atakupatia Nguvu

Maandishi

(1 Petro 5:10)

  1. 1. Nini ilifanya Mungu akuite

    Na kukufundisha kweli yake?

    Aliona moyo wako unapenda

    Kumujua na kufanya mema.

    Mu sala ulijitoa kwake;

    Hataacha kukusaidia.

    (REFREE)

    Kwa damu ya Yesu uko mali ya Mungu.

    Hautaanguka, atakupa nguvu.

    Tena atakulinda na kukuongoza.

    Hautaanguka, atakupa nguvu.

  2. 2. Mungu alitoa Yesu, Mwana wake;

    Kusudi ukuwe na furaha.

    Kama Mungu alikutolea Yesu,

    Basi atakupatia nguvu.

    Hatasahau upendo wako.

    Atakuhangaikia sana.

    (REFREE)

    Kwa damu ya Yesu uko mali ya Mungu.

    Hautaanguka, atakupa nguvu.

    Tena atakulinda na kukuongoza.

    Hautaanguka, atakupa nguvu.

(Ona pia Ro. 8:32; 14:8, 9; Ebr. 6:10; 1 Pe. 2:9.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine