Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 87
  • Tunatiana Moyo ku Mikutano

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tunatiana Moyo ku Mikutano
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kujitayarisha juu ya Kuhubiri
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tunapaswa Kuwa na Imani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Somo 3
    Ninajifunza Biblia
  • Sababu Gani Tunapaswa Kukusanyika Pamoja Ili Kuabudu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 87

WIMBO 87

Tunatiana Moyo ku Mikutano

Maandishi

(Waebrania 10:24, 25)

  1. 1. Tuko naishi na watu wabaya

    Wenye hawajue Mungu.

    Tuko na lazima ya kuongozwa

    Ili tuishi muzuri.

    Mikutano inatusaidia

    Tukuwe na tumaini;

    Tunatiana moyo kwa maneno

    Kusudi tuvumilie.

    Hatutaacha kutii Yehova

    Na kusaidia watu.

    Ku mikutano tunajifunzaka

    Kuipenda sana kweli.

  2. 2. Yehova anatujua muzuri,

    Basi tumusikilize.

    Kukusanyika na ndugu na dada,

    Ni alama ya hekima.

    Tunafundishwa kuogopa Mungu

    Na kuonyesha imani.

    Tunajua ndugu wanatupenda,

    Na hatuko peke yetu.

    Mbele ya dunia mupya kufika

    Tusiache kukutana.

    Ku mikutano njo tunajifunza

    Hekima kutoka juu.

(Ona pia Zb. 37:18; 140:1; Mez. 18:1; Efe. 5:16; Yak. 3:17.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine