WIMBO 161
Napenda Kufanya Mapenzi Yako
1. Kisha tu Yesu kubatizwa
Mambo yenye ulisema
Ilimutia moyo sana.
Akakutumikia.
Na alishinda majaribu.
Juu ya jina yako
Alikuwa tayari kufa.
Napenda kumuiga.
(REFREE)
Furaha yenye napata,
Kwa kukutii, Yehova,
Inapita kila kitu.
Unanipenda sana.
Njo maana ninapenda
Kufanya mapenzi yako
Mu maisha yangu yote.
Nitakusifu Baba.
Nakupenda.
2. Kukujua weye, Yehova,
Inafurahisha sana.
Nitahubiri kwa bidii
Na sitaficha kweli.
Kutumika na ndugu zangu,
Ni pendeleo kwangu.
Hata nikipata magumu,
Miye sitakuacha.
(REFREE)
Furaha yenye napata,
Kwa kukutii Yehova,
Inapita kila kitu.
Unanipenda sana.
Njo maana ninapenda
Kufanya mapenzi yako
Mu maisha yangu yote.
Nitakusifu Baba.
Nakupenda.
Nakupenda sana.