WIMBO 56
Acha Kweli Ikuongoze
Maandishi
1. Ukitembea mu njia ya Yehova,
Utafanya muzuri sana.
Usikilize mashauri ya Mungu
Kwa sababu ni ya kweli.
(REFREE)
Upende kweli.
Acha ikuongoze.
Kama unatii Yehova,
Utakuwa na furaha.
2. Utumikishe nguvu yako mu kazi
ya Ufalme wa Mungu wetu,
Njo utapata baraka za Yehova,
Na uzima wa milele.
(REFREE)
Upende kweli.
Acha ikuongoze.
Kama unatii Yehova,
Utakuwa na furaha.
3. Mbele ya Mungu, tuko kama watoto,
Na tunapaswa kuongozwa.
Basi tembea na Baba wa mbinguni;
Kisha atakubariki.
(REFREE)
Upende kweli.
Acha ikuongoze.
Kama unatii Yehova,
Utakuwa na furaha.
(Ona pia Zb. 26:3; Mez. 8:35; 15:31; Yoh. 8:31, 32.)