Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 147
  • Ahadi ya Uzima wa Milele

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ahadi ya Uzima wa Milele
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Acha Kweli Ikuongoze
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 147

WIMBO 147

Ahadi ya Uzima wa Milele

Maandishi

(Zaburi 37:29)

  1. 1. Wenye haki watapata

    Uzima wa milele.

    Ni ahadi ya Yehova,

    Haseme uongo.

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.

  2. 2. Mu dunia mutakuwa

    Amani na uhuru.

    Watu watakamilika.

    Ni ajabu sana!

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.

  3. 3. Kilio hakitakuwa,

    Wala maombolezo.

    Wale wenye walikufa

    Watafufuliwa.

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.

(Ona pia Isa. 25:8; Lu. 23:43; Yoh. 11:25; Ufu. 21:4.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine