Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 145
  • Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Tutaonana Katika Paradiso!”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ahadi ya Uzima wa Milele
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Paradiso Duniani—Ndoto ao Jambo la Kweli?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 145

WIMBO 145

Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso

Maandishi

(Luka 23:43)

  1. 1. Mu Ufalme wa Yesu Kristo

    Mungu atatosha kifo,

    Tutakuwa wakamilifu,

    Na mateso itaisha.

    (REFREE)

    Na dunia itakuwa

    Paradiso; na hatuna

    Na mashaka. Yesu Kristo

    Atafanya ile yote.

  2. 2. Wale wenye walishakufa

    Yesu atawafufua;

    Alisemaka: ‘Utakuwa

    Na miye mu Paradiso.’

    (REFREE)

    Na dunia itakuwa

    Paradiso; na hatuna

    Na mashaka. Yesu Kristo

    Atafanya ile yote.

  3. 3. Na ahadi ya Paradiso

    Inafurahisha sana.

    Njo maana tumushukuru

    Yehova na tumusifu.

    (REFREE)

    Na dunia itakuwa

    Paradiso; na hatuna

    Na mashaka. Yesu Kristo

    Atafanya ile yote.

(Ona pia Mt. 5:5; 6:10; Yoh. 5:28, 29.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine