WIMBO 145
Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso
Maandishi
1. Mu Ufalme wa Yesu Kristo
Mungu atatosha kifo,
Tutakuwa wakamilifu,
Na mateso itaisha.
(REFREE)
Na dunia itakuwa
Paradiso; na hatuna
Na mashaka. Yesu Kristo
Atafanya ile yote.
2. Wale wenye walishakufa
Yesu atawafufua;
Alisemaka: ‘Utakuwa
Na miye mu Paradiso.’
(REFREE)
Na dunia itakuwa
Paradiso; na hatuna
Na mashaka. Yesu Kristo
Atafanya ile yote.
3. Na ahadi ya Paradiso
Inafurahisha sana.
Njo maana tumushukuru
Yehova na tumusifu.
(REFREE)
Na dunia itakuwa
Paradiso; na hatuna
Na mashaka. Yesu Kristo
Atafanya ile yote.
(Ona pia Mt. 5:5; 6:10; Yoh. 5:28, 29.)