Habari Zilizo Ndani
15/02/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti La Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 2-8/4/2012
Tuige Mufano wa Yesu wa Kuendelea Kukesha
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 108, 74
TAREHE 9-15/4/2012
“Uwe Hodari na Mwenye Nguvu Sana”
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 101, 92
TAREHE 16-22/4/2012
Tunayoweza Kufanya ili Kulinda Roho Nzuri ya Kutaniko Letu
UKURASA WA 18 • NYIMBO: 20, 75
TAREHE 23-29/4/2012
Kuwa na Furaha Katika Familia Inayogawanyika Kidini
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 76, 56
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 UKURASA WA 3-7
Kwa nini Yesu aliwashauri wafuasi wake waendelee kukesha? Habari hii inazungumuzia njia tatu zinazoonyesha kwamba Kristo aliendelea kukesha wakati alipokuwa hapa duniani. Kila moja ya njia hizo itatusaidia kujua jinsi tunavyoweza kuiga mufano wa Yesu wa kuendelea kukesha.
HABARI YA 2 UKURASA WA 10-14
Kwa nini kujifunza jinsi watumishi wa Yehova wa zamani walivyoonyesha uhodari kunaweza kutusaidia? Utapata jibu kwa ulizo hilo katika habari hii ambayo kusudi lake ni kutusaidia tutende kwa uhodari.
HABARI YA 3 UKURASA WA 18-22
Kila mumoja wetu anaonyesha roho fulani, ao sifa fulani inayomutawala. Habari hii inazungumuzia yale tunayoweza kufanya ili kulinda roho nzuri ya kutaniko letu.
HABARI YA 4 UKURASA WA 26-30
Wakristo walio katika familia zinazogawanyika kidini wanapambana na matatizo kila siku. Habari hii inazungumuzia jinsi Wakristo wanaweza kuishi kwa amani pamoja na washiriki wa familia wasio Wakristo na kuwa na mwenendo unaoweza kuwachochea wakubali kweli.
HABARI ZINGINE
8 Walitangaza Neno la Mungu kwa Uhodari!
15 Tabia Inayoweza Kuharibu Mawazo Yako—Wivu
23 Nathani—Alitetea Ibada Safi kwa Uaminifu
31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu
JALADA: Mahali pa kungojea treni katika New Delhi, India. Kila siku treni zaidi ya 300 zinafika mahali hapo. Mashahidi wanahubiria wasafiri wanaotoka mahali pote inchini
INDIA
HESABU YA WATU
1 224 614 000
HESABU YA WAHUBIRI
33 182
ONGEZEKO LA WAHUBIRI
5 %