Habari Zilizo Ndani
15/03/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti La Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 30/04–6/05/2012
Tuwasaidie Watu ‘Waamuke Kutoka Katika Usingizi’
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 65, 96
TAREHE 7-13/05/2012
Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka
UKURASA WA 15 • NYIMBO: 92, 47
TAREHE 14-20/05/2012
Tushangilie Katika Tumaini Letu
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 129, 134
TAREHE 21-27/05/2012
Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma”
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 119, 17
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1, 2 UKURASA WA 10-19
Mafundisho ya uongo yamefanya mamilioni ya watu walale uzingizi wa kiroho. Habari hizi mbili zinazungumuzia jinsi ya kuwaamusha watu na kwa nini hilo ni jambo la kutenda kwa haraka. Pia, namna gani tunaweza kuendelea kutambua uhitaji wa kutenda kwa haraka, na kuhubiri kwa uharaka kunamaanisha nini?
HABARI YA 3 UKURASA WA 20-24
Mutume Petro aliandika kwamba Wakristo watiwa-mafuta wana “tumaini lililo hai.” (1 Pet. 1:3) Namna gani maneno hayo yanatimizwa, na namna gani yanahusu pia “kondoo wengine”? (Yoh. 10:16) Habari hii itakusaidia kujua kwa nini una sababu ya kushangilia na kungojea kwa hamu utimizo wa tumaini lako.
HABARI YA 4 UKURASA WA 25-29
Yesu alitoa onyo hili: ‘Mukumbukeni muke wa Loti.’ (Luka 17:32) Onyo hilo linamaanisha nini? Habari hii itatusaidia kuepuka mambo matatu yanayozungumuziwa katika onyo hilo. Ona ikiwa katika maisha yako unahitaji kutengeneza jambo moja ao zaidi kuhusiana na onyo hilo.
HABARI ZINGINE
3 ‘ Kuna Uzuri Upande wa Mukono Wako wa Kuume Milele’
7 Mambo ya Kufikiria Unapoombwa Mashauri
32 “ Tafazali, Unaweza Kutuchukua Picha?”
JALADA: Vijana wengi Mashahidi katika Malawi wamezungumuza na wanafunzi wenzao habari zenye kupendeza na za maana zinazopatikana katika kitabu Vijana Huuliza
MALAWI
HESABU YA WATU
13 077 160
HESABU YA WAHUBIRI
79 157
UJENZI WA MAJUMBA YA UFALME
1 031 kuanzia mwaka wa 1998