Habari Zilizo Ndani
15/05/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti la Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 2-8/7/2012
Je, Unaheshimu Kabisa Zawadi ya Ndoa?
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 87, 75
TAREHE 9-15/7/2012
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 36, 69
TAREHE 16-22/7/2012
Mutumaini Yehova—Mungu wa “Nyakati na Majira”
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 116, 135
TAREHE 23-29/7/2012
Je, Watu Wanaona Utukufu wa Yehova Wanapokutazama?
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 93, 89
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 NA YA 2 UKURASA WA 3-12
Habari hizi zinaeleza kwa nini tunapaswa kutumia kabisa mashauri ya Yehova juu ya ndoa. Zitatuchochea kuheshimu kabisa zawadi ya ndoa iliyotoka kwa Mungu. Tena, zinaonyesha kama matatizo si mwisho wa ndoa na zinazungumuzia namna tunaweza kuwa na ndoa yenye furaha kwa kutumia mashauri ya Biblia.
HABARI YA 3 UKURASA WA 17-21
Habari hii inazungumuzia njia zinazoonyesha kama Yehova ndiye Muheshimu-Wakati Mukubwa. Habari hii itatia nguvu imani yetu katika Yehova na katika Neno lake, Biblia. Tena, itatusaidia tukusudie kutumia wakati wetu kwa hekima tunapongojea kwa hamu wokovu wa Yehova.
HABARI YA 4 UKURASA WA 23-27
Tunamupenda Mungu, lakini sisi hatukamilike. Hata hivyo, tunatamani watu wamutukuze Yehova wanapotutazama. Habari hii inazungumuzia namna hilo linawezekana. Inaonyesha jambo tunalopaswa kufanya ili kumuiga Mungu na kumupendeza. (Efe. 5:1) Inaonyesha pia namna tunavyoweza kumutukuza Mungu.
HABARI ZINGINE
13 Nilivutiwa Sana na Ndugu na Dada Wenye Kuzeeka
28 Mufanye Angalisho na “Chachu ya Mafarisayo”
31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu
JALADA: Kwenye kituo cha remorke katika Toulouse, France, bibi na bwana mapainia wanahubiria washofere. Zaidi ya remorke 1 800 kutoka inchi mbalimbali za Ulaya zinapitia Toulouse
FRANCE
HESABU YA WATU
63 787 000
HESABU YA WAHUBIRI
122 433
ONGEZEKO LA MAPAINIA KATIKA MIAKA KUMI ILIYOPITA:
296%