Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w12 15/5 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 15/5 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/05/2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

Gazeti la Funzo

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 2-8/7/2012

Je, Unaheshimu Kabisa Zawadi ya Ndoa?

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 87, 75

TAREHE 9-15/7/2012

Matatizo Si Mwisho wa Ndoa

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 36, 69

TAREHE 16-22/7/2012

Mutumaini Yehova​—Mungu wa “Nyakati na Majira”

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 116, 135

TAREHE 23-29/7/2012

Je, Watu Wanaona Utukufu wa Yehova Wanapokutazama?

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 93, 89

KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA

HABARI YA 1 NA YA 2 UKURASA WA 3-12

Habari hizi zinaeleza kwa nini tunapaswa kutumia kabisa mashauri ya Yehova juu ya ndoa. Zitatuchochea kuheshimu kabisa zawadi ya ndoa iliyotoka kwa Mungu. Tena, zinaonyesha kama matatizo si mwisho wa ndoa na zinazungumuzia namna tunaweza kuwa na ndoa yenye furaha kwa kutumia mashauri ya Biblia.

HABARI YA 3 UKURASA WA 17-21

Habari hii inazungumuzia njia zinazoonyesha kama Yehova ndiye Muheshimu-Wakati Mukubwa. Habari hii itatia nguvu imani yetu katika Yehova na katika Neno lake, Biblia. Tena, itatusaidia tukusudie kutumia wakati wetu kwa hekima tunapongojea kwa hamu wokovu wa Yehova.

HABARI YA 4 UKURASA WA 23-27

Tunamupenda Mungu, lakini sisi hatukamilike. Hata hivyo, tunatamani watu wamutukuze Yehova wanapotutazama. Habari hii inazungumuzia namna hilo linawezekana. Inaonyesha jambo tunalopaswa kufanya ili kumuiga Mungu na kumupendeza. (Efe. 5:1) Inaonyesha pia namna tunavyoweza kumutukuza Mungu.

HABARI ZINGINE

13 Nilivutiwa Sana na Ndugu na Dada Wenye Kuzeeka

22 Maulizo ya Wasomaji Wetu

28 Mufanye Angalisho na “Chachu ya Mafarisayo”

31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu

JALADA: Kwenye kituo cha remorke katika Toulouse, France, bibi na bwana mapainia wanahubiria washofere. Zaidi ya remorke 1 800 kutoka inchi mbalimbali za Ulaya zinapitia Toulouse

FRANCE

HESABU YA WATU

63 787 000

HESABU YA WAHUBIRI

122 433

ONGEZEKO LA MAPAINIA KATIKA MIAKA KUMI ILIYOPITA:

296%

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine