Habari Zilizo Ndani
15/08/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti la Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 24-30/9/2012
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 65, 2
TAREHE 1-7/10/2012
Tujiendeshe Kama Raia wa Ufalme wa Mungu
UKURASA WA 11 • NYIMBO: 16, 98
TAREHE 8-14/10/2012
Fanya Angalisho na Mitego ya Shetani!
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 61, 25
TAREHE 15-21/10/2012
Simama Imara na Epuka Mitego ya Shetani!
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 32, 83
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 UKURASA WA 3-7
Nabii Danieli alitabiri kama “ujuzi wa kweli” ungekuwa mwingi katika “siku za mwisho.” (Dan. 12:4) Habari hii inaeleza namna unabii huo umetimia kwa njia iliyo wazi. Inatupatia pia sababu za kuamini kama Yesu iko pamoja na wale wanaomutumikia Mungu.
HABARI YA 2 UKURASA WA 11-15
Ni nani walio kabisa raia wa Ufalme wa Mungu? Habari hii inazungumuzia mambo tunayopaswa kutimiza ili kuwa raia wa Ufalme wa Mungu. Inaonyesha pia namna tunavyoweza kuonyesha kama tunapenda sheria za Yehova.
HABARI YA 3 NA YA 4 UKURASA WA 20-29
Shetani anatumia kwa ujanja mitego isiyoonekana waziwazi ili kuregeza imani yetu. Habari hizi zinazungumuzia namna tunavyoweza kuepuka mitego tano ya Shetani: kushindwa kuzuia ulimi, kuogopa watu na mikazo ya wengine, kujisikia kama hauwezi kusamehewa, kufuatia vitu vya kimwili, na uzinifu.
HABARI ZINGINE
8 ‘Kuna Sawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu’
16 Mukutano Ulioonyesha Umoja na Mipango Yenye Kufurahisha
31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu
JALADA: Muhubiri wa Ufalme anamuhubiria muchungaji wa wanyama katika jimbo la Bafatá katika Guinée-Bissau
GUINÉE-BISSAU
WATU
1 515 000
WAHUBIRI
120
MAFUNZO YA BIBLIA
389