Habari Zilizo Ndani
15/10/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti la Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 26/11–2/12/2012
Kupambana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 81, 33
TAREHE 3-9/12/2012
Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha?
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 122, 124
TAREHE 10-16/12/2012
Umutii Mungu ili Ufaidike na Viapo Vyake
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 129, 95
TAREHE 17-23/12/2012
Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 63, 125
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 UKURASA WA 7-11
Tunaishi wakati wa taabu nyingi. Katika habari hii tutazungumuzia watu wa zamani na wa sasa waliopambana na matatizo makali. Habari hii itatuonyesha pia namna ya kupambana kwa ujasiri na matatizo yoyote yanayoweza kutokea.
HABARI YA 2 UKURASA WA 12-16
Roho ya ulimwengu inavunja moyo kuliko kutia nguvu. Jifunze kupitia habari hii namna ya kuepuka maoni na matendo yanayoweza kuharibu hali nzuri ya kutaniko na namna ya kuwa na roho inayoweza kutusaidia kuishi kwa amani pamoja na wengine.
HABARI YA 3 NA YA 4 UKURASA WA 22-31
Habari ya kwanza inazungumuzia ahadi nzuri za Mungu. Ili kuona utimizo wa ahadi hizo, tunapaswa kumutii Mungu na kutimiza mambo tunayosema. Habari ya pili inazungumuzia mifano ya watu walioacha ‘Ndiyo yao imaanishe Ndiyo’ na inawatia moyo Wakristo waliobatizwa waheshimu Ndiyo yao ya maana sana.—Mt. 5:37.
HABARI ZINGINE
3 Walijitoa kwa Kujipendea—Katika Brésil
17 Urafiki Wao Umefanya Miaka 60
32 Maneno Yenye Kutia Moyo “Kutoka Katika Kinywa cha Watoto”
JALADA: Bibi na bwana mapainia wanatandaza vichapo kwenye meza katika eneo la muji lenye magari mengi
TIMES SQUARE, MANHATTAN, NEW YORK CITY
MAPAINIA
600
KATIKA MANHATTAN WANATUMIKA KATIKA MAENEO
12
HESABU YA MAKUTANIKO KATIKA MANHATTAN
55