Habari Zilizo Ndani
15/12/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti la Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 28/01–03/02/2013
Kufanikiwa Katika Maisha Kunamaanisha Nini?
UKURASA WA 4 • NYIMBO: 115, 45
TAREHE 04-10/02/2013
Je, Wewe Ni Musimamizi-nyumba Mwenye Kutumainika?
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 62, 125
TAREHE 11-17/02/2013
Tuendelee Kuishi Kama “Wakaaji wa Muda”
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 107, 40
TAREHE 18-24/02/2013
“Wakaaji wa Muda” Wanamuabudu Mungu wa Kweli Katika Umoja
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 124, 121
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 NA YA 2 UKURASA WA 4-13
Kufanikiwa katika maisha kunamaanisha nini? Habari hizi zinajibu ulizo hilo kwa njia inayotofautiana na maoni ya watu wa ulimwengu. Tutajifunza pia kwamba ili kufanikiwa machoni pa Mungu, tunapaswa kuwa waaminifu kwa Mungu na kukubali madaraka tuliyopewa.
HABARI YA 3 NA YA 4 UKURASA WA 19-28
Wakristo watiwa-mafuta na “kondoo wengine” ni “wakaaji wa muda” katika maana gani? (Yoh. 10:16; 1 Pet. 2:11) Habari hizi zitatutolea majibu na kututia moyo tuendelee kujiendesha kama wakaaji wa muda, na kuhubiri kwa umoja na ndugu zetu duniani pote.
HABARI ZINGINE
29 Sababu Gani Munara wa Mulinzi Ulitolewa Katika Kiingereza Rahisi?
32 Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012
JALADA: Kuna Mashahidi wa Yehova zaidi ya 100 000 katika Corée du Sud. Wengi kati yao wamefungwa kwa sababu hawajiingize katika mambo ya politike na hawachukue silaha ili kuwaua wanainchi wenzao. Lakini hata katika gereza wanajikaza kuhubiri habari njema kwa kutumia njia mbalimbali kama vile barua
CORÉE DU SUD
WATU
48 184 000
WAHUBIRI
100 059
NDUGU WALIOFUNGWA MWAKA JANA
731
SAA AMBAZO NDUGU HAO WANAPITISHA KATIKA MAHUBIRI KILA MWEZI
9 000