Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w12 15/12 uku. 32
  • Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa Vidogo
  • BIBLIA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 15/12 uku. 32

Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2012

Inaonyesha tarehe ya gazeti ambamo habari inapatikana

BIBLIA

Angalisho!Biblia Si Hirizi, 15/12

Coverdale na Biblia ya Kwanza Nzima Kuwahi Kuchapishwa, 01/06

Inabadilisha Maisha, 01/01, 01/02, 01/04, 01/05, 01/07, 01/08, 01/10, 01/11

Inatabiri Kuhusu Wakati Ujao? 01/01

Kiswahili, 01/09

Kwa Ajili ya Vijana, O1/01, O1/04, 01/07, 01/10

Kwa Nini Ni Kitabu cha Kipekee? 01/06

HABARI ZA KUJIFUNZA

Acha Yehova Akuongoze Kwenye Uhuru wa Kweli, 15/07

Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo, 15/10

Endelea Kuwa na Moyo Usiogawanyika Kumuelekea Yehova, 15/04

Fanya Angalisho na Mitego ya Shetani, 15/08

Furahia Amani Katika Utawala wa Miaka Elfu Moja na Milele, 15/09

‘Hamuijue Ile Siku wala Ile Saa,’ 15/09

Je, Unaheshimu Kabisa Zawadi ya Ndoa? 15/05

Je, Watu Wanaona Utukufu wa Yehova Wanapokutazama? 15/05

Je, Wewe Ni Musimamizi-nyumba Mwenye Kutumainika? 15/12

Kufanikiwa Katika Maisha Kunamaanisha Nini? 15/12

Kupambana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri, 15/10

Kuwa na Furaha Katika Familia Inayogawanyika Kidini, 15/02

Kuwasaliti Wengine—Alama ya Siku za Mwisho! 15/04

Mambo Tunayojifunza Kutokana na ‘Picha ya Ile Kweli,’ 15/01

Matatizo Si Mwisho wa Ndoa, 15/05

“Mimi Niko Pamoja Nawe,” 15/08

Mufano wa Mitume wa Yesu wa Kuendelea Kukesha Unatufundisha Nini? 15/01

Mutumaini Yehova—Mungu wa “Nyakati na Majira,” 15/05

‘Mwana Anapenda Kumufunua Baba,’ 15/04

Namna Gani Unaweza Kufaidika na Musamaha wa Yehova? 15/11

Namna Ulimwengu Huu Utakavyofikia Mwisho Wake, 15/09

‘Nitamuogopa Nani’? 15/07

Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha? 15/10

Simama Imara na Epuka Mitego ya Shetani! 15/08

Tia Kazi ya Yehova pa Nafasi ya Kwanza, 15/06

Tuendelee Kuishi Kama “Wakaaji wa Muda,” 15/12

Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda Kwa Haraka, 15/03

Tuige Mufano wa Yesu wa Kuendelea Kukesha, 15/02

Tujiendeshe Kama Raia wa Ufalme wa Mungu, 15/08

Tumutolee Yehova Zabihu Zetu kwa Nafsi Yote, 15/01

Tunayoweza Kufanya Ili Kulinda Roho Nzuri ya Kutaniko Letu, 15/02

Tuwe Tayari Kusameheana, 15/11

Tushangilie Katika Tumaini Letu, 15/03

Tuwasaidie Watu ‘Waamuke Kutoka Katika Usingizi,’ 15/03

Ujiendeshe Kama Aliye Mudogo Zaidi, 15/11

Ukuhani wa Kifalme Utakaowaletea Wanadamu Wote Baraka, 15/01

Umutii Mungu Ili Ufaidike na Viapo Vyake, 15/10

Umutumikie Mungu Anayetoa Uhuru, 15/07

“Unifundishe Kufanya Mapenzi Yako,” 15/11

Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma,” 15/03

Uvumilivu wa Yehova na Yesu Unatufundisha Nini? 15/09

“Uwe Hodari na Mwenye Nguvu Sana,” 15/02

“Wakaaji wa Muda” Wanamuabudu Mungu wa Kweli Katika Umoja, 15/12

Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu, 15/01

‘Waliongozwa na Roho Takatifu,’ 15/06

Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi,” 15/06

Yehova Anajua Namna ya Kuwakomboa Watu Wake, 15/04

Yehova Anakusanya Tena Familia Yake, 15/07

Yehova Anatulinda Ili Tupate Wokovu, 15/04

Yehova Anakusanya Watu Wake Wenye Furaha, 15/09

Yehova Ni ‘Mufunuaji wa Siri,’ 15/06

Yesu Alituachia Mufano wa Unyenyekevu, 15/11

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Je, Mukristo Aliye na Zoezi la Kutazama Ponografia Anaweza Kufikia Kutengwa na Ushirika? 15/03

Je, Ni Lazima Kuoa ao Kuolewa Ili Kupata Furaha? 01/10

Je, Wakristo wa Karne ya Kwanza Walijihusisha na Siasa? 01/05

Kiapo cha Uaminifu, 15/12

Kubaki Bila Kuoa ao Kuolewa, 15/11

Kufanya Wakati wa Funzo Uwe Wenye Kufurahisha Zaidi na Wenye Faida Zaidi, 15/01

Kwa Nini Wakristo Hubatizwa? 01/04

Madeni, 01/11

Mambo ya Kufikiria Unapoombwa Mashauri, 15/03

Mufanye Angalisho na “Chachu ya Mafarisayo,” 15/05

Ninajifunza Biblia, 01/02, 01/05, 01/08, 01/11

Sifa ya Wema, 01/09

‘Ufundi wa Kuongoza,’ 15/06

Utafanya Nini Kijana Wako Akitilia Shaka Imani Yako? 01/02

Uwafundishe Watoto Wako, 01/03, 01/06, 01/09, 01/12

MAMBO MENGINE

Abrahamu, 01/01

Ahasuero (bwana ya Esta), 01/01

Aliilinda Familia Yake, Akawaandalia, na Akavumilia (Yosefu), 01/04

Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi (Esta), 01/01

Anasi Katika Masimulizi ya Injili, 01/04

Barua Zilitumwa Namna Gani Wakati wa Zamani? 01/09

Dini na Siasa, 01/05

Har-Magedoni, 01/02

Jambo Nzuri Zaidi Kuliko Noeli, 01/12

Je, Dunia Itaharibiwa? 01/02

Je, Imani ya Kidini Inasaidia Watu Kusahau Magumu Yao? 01/11

Je, Kuna Mambo Yanayoonyesha Kama Wakristo Walikimbia Inchi ya Yudea Mbele ya Uharibifu wa Yerusalemu Mwaka wa 70? 01/10

Je, Unaamini Kwamba Uliishi Mahali Fulani Mbele ya Kuzaliwa? 01/12

Je, Unaweza Kuishi Milele? 01/10

Je, Watu Wote Wazuri Wanaenda Mbinguni? 01/08

Je, Yesu Alikosea Aliposema Kama Chumvi Inaweza Kupoteza Nguvu Zake? (Mt 5:13), 01/12

Jinsi Unavyowaona kwa Mara ya Kwanza, 01/03

Jinsi ya Kuanza Kuaminiana Tena (kisha bibi ao bwana kufanya uzinifu), 01/05

‘Kuna Sawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu’ (Asa), 15/08

‘Mwanamuke Bora Sana’ (Ruthu), 01/10

“Haiwezekani!”—Neno Hilo Linamaanisha Nini? 01/06

“Kiti cha Hukumu” (Mdo. 18:12, 13), 01/05

“Uendako Nitaenda” (Ruthu), 01/07

“Wana wa Manabii,” 01/10

Kalamu na Wino Vilivyotumiwa Wakati wa Zamani, 01/11

Karatasi Ambazo Zilitumiwa Nyakati za Biblia, 01/07

Kazi ya Kununua na Kuuzisha Katika Israeli ya Zamani, 01/09

Kifo cha Washikamanifu Ni ‘Chenye Samani,’ 15/05

Kuchagua Wakati Ujao Wenye Mafanikio, 01/05

Kupiga Filimbi Kwenye Mazishi Katika Siku za Yesu? 01/02

Kupoteza Drakma, 01/12

Kutumia Lami Kama Saruji, 01/07

Kuwasiliana na Pepo, 01/03

Kwa Nini Mungu Aliwaagiza Waabudu Wake Wafunge Ndoa na Waabudu Wenzao Tu? 01/07

Majiwe ya Bei Sana Yaliyotiwa Kwenye Mufuko wa Kifuani wa Vazi la Kuhani Mukubwa, 8/1

Mapato Yanapopungua, 01/06

Matofali Katika Misri ya Kale, 01/01

Matumizi ya Vitu vya Kujipodoa Wakati wa Zamani, 01/12

Mazabahu ya “Mungu Asiyejulikana,” 01/03

Miujiza, 01/08

Muchungaji (wakati wa zamani), 01/11

Mukulima (wakati wa zamani), 01/05

Nasaba za Wayahudi, 01/06

Nathani Alitetea Ibada Safi, 15/02

Ni Nini Kitakachozipata Dini? 01/05

Ni Sifa Gani Zinazowatambulisha Wakristo wa Kweli? 01/03

Ni Wakati Gani Uingereza na Amerika Ilikuja Kuwa Serikali Kubwa ya Saba? 15/06

Paulo Alifanya Mahema ya Namna Gani? 01/11

Rangi, na Vitambaa Nyakati za Zamani, 01/03

Rushwa Itaisha Siku Fulani? 01/10

Sababu Gani Divai Ilitumiwa Kama Dawa Wakati wa Zamani? 01/08

Sababu Gani Watu Wengine Hawafanye Sikukuu ya Noeli? 01/12

Siku ya Hukumu, 01/09

Thesalonika, 01/06

Tumbako, 01/08

Utatu, 01/03

Viini Vilivyogandishwa, 15/12

Viumbe wa Roho, 01/07

Wafalme Wanane Wanafunuliwa, 15/06

Wakusanya-kodi (wakati wa Yesu), 01/03

Wanamuziki na Vyombo Vyao vya Muziki (katika nyakati za Biblia), 01/02

Wavuvi (wakati wa zamani), 01/08

Wivu, 15/02

MASHAHIDI WA YEHOVA

Barua Kutoka . . . , 01/03, 01/06, 01/09, 01/12

Gazeti la Funzo (Munara wa Mulinzi), 15/01

“Historia Haiseme Uongo” (Estonie), 01/12

Je, Wanawaacha Wanawake Wafundishe? 01/09

Kuhitimu Gileadi, 01/02, 01/08

Kulinda Vitu vya Maana Sana Vinavyoonyesha Historia Yetu, 15/01

“Kutoka Katika Kinywa cha Watoto” (Russie, Australie), 15/10

Kwa Nini Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba? 01/06

“Linda Moyo Wako!” Kusanyiko la Wilaya, 01/05

Mahakama ya Ulaya Inaunga Mukono Haki ya Mutu ya Kukataa Kujiunga na Jeshi Kwa Sababu ya Zamiri Yake (V. Bayatyan), 01/11

Mahali Ambapo Mipaka Haina Maana (Ureno, Uhispania, Ufaransa), 01/01

Masomo Mbalimbali Yanayoongozwa na Tengenezo la Yehova, 15/09

Michango Yao ya Zaidi Ilijaza Upungufu wa Wengine, 15/11

Mukutano wa Kila Mwaka, 15/08

Munara wa Mulinzi Katika Kiingereza Rahisi, 15/12

‘Namna Gani Nitaweza Kuhubiri?’ (kilema), 15/01

‘Nilijulikana Sana Kwa Sababu ya Chombo Hicho (Chombo Chenye Magurudumu Mawili), 15/02

“Ndoto Yangu Imetimia” (upainia), 15/07

“Tafazali, Unaweza Kutuchukua Picha” (Mexique), 15/03

‘Ujumbe Ambao Watu Walikuwa Hawajasikia’ (Radio ya Canada), 15/11

Waazteki wa Kisasa, 01/03

Wakolportere, 15/05

Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Inchi ya Brésil, 15/10

Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Inchi ya Équateur, 15/07

Walitangaza Neno la Mungu Kwa Uhodari! 02/15

Wapelerin, 15/08

Wema Unatuliza Uchungu, 15/06

MASIMULIZI YA MAISHA

‘Kuna Uzuri Upande wa Mukono Wako wa Kuume Milele’ (L. Didur), 15/03

Namna Neno la Mungu Lilivyosaidia Familia Moja Yenye Bidii Katika Dini ya Kihindu (N. Govindsamy), 01/10

Nilishika Upindo wa Nguo ya Muyahudi kwa Miaka Zaidi ya 70 (L. Smith), 15/04

Nilivutiwa Sana na Ndugu na Dada Wenye Kuzeeka (E. Gjerde), 15/05

Nimepata Uhuru wa Kweli! (M. Kilin), 01/12

Sasa Ninajua Mungu Ambaye Ninaabudu (M. Bacudio), 01/09

Urafiki Wao Umefanya Miaka 60 (L. Turner, W. Kasten, R. Kelsey, R. Templeton), 15/10

Utumishi Mutakatifu Ulitufundisha Ile “Siri” (O. Randriamora), 15/06

Yehova Alinifundisha Kufanya Mapenzi Yake (M. Lloyd), 15/07

Yehova Amenifungua Macho (P. Oyeka), 01/06

YEHOVA

Baba, 01/07

Je, Kweli Mungu Anawahangaikia Wanawake? 01/09

Je, Mungu Anawapa Watu Malipizi Kwa Kuwaunguza Katika Moto wa Mateso? 01/10

Je, Mungu Ataleta Serikali Moja Itakayotawala Dunia Yote? 01/11

Kwa Nini Mungu Alimuambia Abrahamu Amuzabihu Mwana Wake? 01/01

Kwa Nini Mungu Amewapanga Watu Wake Kwa Utaratibu? 01/02

Kwa Nini Tunapaswa Kutumia Jina la Mungu? 01/06

Msikiaji wa Sala, 01/07

Sababu Gani Mungu Alimutuma Yesu Duniani? 01/12

Umukaribie Mungu, 01/01, 01/02, 01/03, 01/04, 01/05, 01/06, 01/07, 01/08, 01/09, 01/10, 01/11, 01/12

Ungependa Kumuuliza Mungu Ulizo Gani? 01/11

YESU KRISTO

Alikuwa na Maoni Gani Kuhusu Siasa, 01/05

Injili za Apokrifa, 01/04

Je, Yesu Ni Mungu? 01/04

Kwa Nini Wayahudi Fulani Walikwazwa na Jinsi Yesu Alivyokufa? 01/05

Majibu ya Maswali Yetu Kumuhusu Yesu Kristo, 01/04

Ni Nani Aliyeituma Ile “Nyota”? 01/04

Ni Wakati Gani Alifanywa Kuwa Mufalme? 01/08

Tunapaswa Kukumbuka Kifo cha Yesu Jinsi Gani? 01/03

Watenda-zambi Waliouwawa Pamoja na Yesu, 01/02

Yesu Alimaanisha Nini Aliposema Tuende Kilomita Mbili? (Mt 5:41), 01/04

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine