Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/1 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/1 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/01/2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 25/02–03/03/2013

Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 60, 23

TAREHE 4-10/03/2013

Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 106, 51

TAREHE 11-17/03/2013

Endelea Kumukaribia Yehova

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 52, 65

TAREHE 18-24/03/2013

Mutumikie Yehova Bila Kusikitika

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 91, 39

TAREHE 25-31/03/2013

Wazee wa Kutaniko Ni ‘Wafanyakazi Wenzetu kwa Furaha Yetu’

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 123, 53

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Uwe Hodari​—Yehova Yupo Pamoja Nawe!

Biblia inazungumuzia watu wengi waliotenda kwa imani na uhodari. Kuchunguza mambo fulani yaliyotokea katika maisha yao kutatusaidia tutende kwa imani na kumutumikia Yehova kwa uhodari. Habari hii inazungumuzia andiko letu la mwaka wa 2013.

▪ Usiruhusu Kitu Chocote Kikutenganishe na Yehova

▪ Endelea Kumukaribia Yehova

Kuna mambo mengi ambayo hatuweze kuchagua: wazazi wetu, ndugu na dada zetu, na mahali pa kuzaliwa. Lakini, tunaweza kuchagua kuwa marafiki wa Yehova ao hapana. Habari hizi zinazungumuzia mambo saba yanayoweza kututenganisha na Yehova.

▪ Mutumikie Yehova Bila Kusikitika

Sisi sote tumefanya mambo ambayo baadaye yanatusikitisha na tungependa watupe nafasi ya kuanzililia tena ili tufanye vizuri zaidi. Lakini, hatupaswe kuruhusu mawazo hayo yatuvunje moyo tunapomutumikia Mungu. Katika habari hii, tutajifunza namna mufano wa mutume Paulo unavyoweza kutusaidia tumutumikie Yehova bila kusikitika.

▪ Wazee wa Kutaniko Ni ‘Wafanyakazi Wenzetu kwa Furaha Yetu’

Katika barua yake ya pili kwa Wakorintho, mutume Paulo alionyesha kama yeye na wafanyakazi wenzake walikuwa ‘wafanyakazi wenzi kwa furaha’ ya waamini wenzao. (2 Kor. 1:24) Wazee wanaweza kujifunza nini kutokana na maneno hayo ya mutume Paulo? Namna gani kila mumoja wetu anaweza kusaidia kuendeleza furaha katika kutaniko? Habari hii itajibu maulizo hayo.

HABARI ZINGINE

3 Walijitoa kwa Kujipendea Katika Inchi ya Norvège

32 Kampanye Iliyopangwa Vizuri Inazaa Matunda

JALADA: Bwana na bibi ambao wamepata pansio, wanaongoza funzo la Biblia kwenye veranda ya nyumba moja katika muji wa Camp Perrin. Watu fulani wa Haïti ambao wameishi kwenye bahari, kama bwana huyo na bibi yake, wanarudi katika inchi zao ili kutumikia mahali ambapo kuna lazima kubwa ya wahubiri

HAÏTI

KILA MUHUBIRI ANAPASWA KUHUBIRI WATU

557

WAHUBIRI

17 954

MAFUNZO YA BIBLIA

35 735

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine