Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/2 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/2 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/02/2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 01-07/04/2013

Huu Ndio Uriti Wetu wa Kiroho

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 69, 28

TAREHE 08-14/04/2013

Je, Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Maana Sana?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 22, 75

TAREHE 15-21/04/2013

Tubaki Katika Bonde la Ulinzi la Yehova

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 133, 16

TAREHE 22-28/04/2013

Usiruhusu Kitu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 15, 61

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Huu Ndio Uriti Wetu wa Kiroho

▪ Je, Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Maana Sana?

Habari hizi zinazungumuzia sehemu mbalimbali za uriti wa kiroho wa watu wa Yehova. Habari hizi zinaonyesha namna Mungu amelinda Neno lake, amebariki wale wanaotumia jina lake, na amelinda kweli ya kiroho inayotusaidia tusidanganywe na mafundisho ya dini za uongo.

▪ Tubaki Katika Bonde la Ulinzi la Yehova

Habari hii inafasiria bonde la ulinzi linalozungumuziwa katika andiko la Zekaria 14:4 na inaonyesha sababu gani tunapaswa kubaki katika bonde hilo. Inazungumuzia pia maana ya maji ya uzima yanayotajwa katika andiko la Zekaria 14:8 na namna tunavyoweza kuyakunywa.

▪ Usiruhusu Kitu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu

Habari hii inaonyesha namna tunavyoweza kupata utukufu ambao Yehova anatolea wanadamu. Inaonyesha pia mambo yanayoweza kutuzuia kupata utukufu huo na namna tunavyoweza kuwasaidia wengine tunapoendelea kutafuta utukufu huo.

HABARI ZINGINE

13 Walinzi wa Mufalme Wanatolewa Ushahidi

22 Fanya Angalisho na Mawazo ya Moyo

30 Alikuwa wa Jamaa ya Kayafa

31 Vitu vya Maana vya Historia Yetu

JALADA: Muhubiri mumoja kaskazini mwa Namibie anahubiria mwanamuke wa kabila la Himba. Wanawake wa kabila la Himba, ambao ni wa taifa la wachungaji wa ngombe wanaohama-hama, wanazoea kupakaa udongo mwekundu katika nywele zao na kwenye mwili wao

NAMIBIE

WATU

2 373 000

WAHUBIRI

2 040

MAFUNZO YA BIBLIA

4 192

[Muchoro kwenye ukurasa wa 2]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine