Habari Zilizo Ndani
15/02/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 01-07/04/2013
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 69, 28
TAREHE 08-14/04/2013
Je, Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Maana Sana?
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 22, 75
TAREHE 15-21/04/2013
Tubaki Katika Bonde la Ulinzi la Yehova
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 133, 16
TAREHE 22-28/04/2013
Usiruhusu Kitu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 15, 61
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Huu Ndio Uriti Wetu wa Kiroho
▪ Je, Unaona Uriti Wako wa Kiroho Kuwa wa Maana Sana?
Habari hizi zinazungumuzia sehemu mbalimbali za uriti wa kiroho wa watu wa Yehova. Habari hizi zinaonyesha namna Mungu amelinda Neno lake, amebariki wale wanaotumia jina lake, na amelinda kweli ya kiroho inayotusaidia tusidanganywe na mafundisho ya dini za uongo.
▪ Tubaki Katika Bonde la Ulinzi la Yehova
Habari hii inafasiria bonde la ulinzi linalozungumuziwa katika andiko la Zekaria 14:4 na inaonyesha sababu gani tunapaswa kubaki katika bonde hilo. Inazungumuzia pia maana ya maji ya uzima yanayotajwa katika andiko la Zekaria 14:8 na namna tunavyoweza kuyakunywa.
▪ Usiruhusu Kitu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu
Habari hii inaonyesha namna tunavyoweza kupata utukufu ambao Yehova anatolea wanadamu. Inaonyesha pia mambo yanayoweza kutuzuia kupata utukufu huo na namna tunavyoweza kuwasaidia wengine tunapoendelea kutafuta utukufu huo.
HABARI ZINGINE
13 Walinzi wa Mufalme Wanatolewa Ushahidi
22 Fanya Angalisho na Mawazo ya Moyo
31 Vitu vya Maana vya Historia Yetu
JALADA: Muhubiri mumoja kaskazini mwa Namibie anahubiria mwanamuke wa kabila la Himba. Wanawake wa kabila la Himba, ambao ni wa taifa la wachungaji wa ngombe wanaohama-hama, wanazoea kupakaa udongo mwekundu katika nywele zao na kwenye mwili wao
NAMIBIE
WATU
2 373 000
WAHUBIRI
2 040
MAFUNZO YA BIBLIA
4 192