Habari Zilizo Ndani
15/04/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 03-09/06/2013
Namna ya Kufaidika Kabisa na Usomaji wa Biblia
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 114, 113
TAREHE 10-16/06/2013
Tumia Neno la Mungu ili Kujisaidia na Kuwasaidia Wengine
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 37, 92
TAREHE 17-23/06/2013
‘Tuhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi’
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 70, 98
TAREHE 24-30/06/2013
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 129, 63
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Namna ya Kufaidika Kabisa na Usomaji wa Biblia
▪ Tumia Neno la Mungu ili Kujisaidia na Kuwasaidia Wengine
Mutume Paulo aliandika kwamba “neno la Mungu liko hai nalo lina nguvu.” (Ebr. 4:12) Lakini tutafaidika na nguvu hiyo ikiwa tunajifunza neno hilo lililoongozwa na roho ya Mungu na kutumikisha yale tunayojifunza. Habari hizi zinazungumuzia namna ya kujifunza Biblia na namna tunavyoweza kutumikisha hekima ya Biblia katika maisha yetu na katika mahubiri.
▪ ‘Tuhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi’
▪ ‘Tusichoke Kabisa’
Tuna pendeleo la kuwa katika tengenezo la ajabu la Mungu. Lakini, namna gani tunaweza kutembea bega kwa bega na tengenezo la Yehova? Ni nini itakayotusaidia kuendelea kutembea bega kwa bega na tengenezo la Yehova bila kuchoka kabisa? Habari hizi zinajibu maulizo hayo.
HABARI ZINGINE
3 Walijitoa kwa Kujipendea—Katika Mexique
17 Miaka 50 ya Utumishi wa Wakati Wote Karibu na Cercle Arctique
32 Je, Ulijua?
JALADA: Katika makutaniko mengi, ndugu na dada wanakusanyika kwa ajili ya mahubiri na saa moja na nusu asubuhi, ao mbele ya hapo. Wanatumia kila nafasi ili kuhubiri watu katika barabara
NÉPAL
WATU
26 620 809
WAHUBIRI
1 667
MAFUNZO YA BIBLIA
3 265