Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/6 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/6 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/06/2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 05-11/08/2013

Tupendezwe Sana na Sifa za Yehova

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 69, 89

TAREHE 12-18/08/2013

Yehova Ni Mukarimu na Mwenye Usawaziko

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 22, 110

TAREHE 19-25/08/2013

Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 63, 77

TAREHE 26/08–01/09/2013

Acha Nizamu ya Yehova Ikufinyange

UKURASA WA 24 • NYIMBO: 120, 64

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Tupendezwe Sana na Sifa za Yehova

▪ Yehova Ni Mukarimu na Mwenye Usawaziko

▪ Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe

Wakristo wengi wanafikiri kwamba Yehova ana sifa ine kubwa tu. Lakini habari tatu hizo zitatusaidia tupendezwe sana na sifa nyingine nyingi za Yehova ambazo tunajifunza mara chache. Tutakapozungumuzia sifa fulani, tutaona kwanza maana ya sifa hiyo, kisha, namna Yehova anavyoionyesha, na mwishowe namna tunavyoweza kumuiga Yehova kwa kuonyesha sifa hiyo.

▪ Acha Nizamu ya Yehova Ikufinyange

Ili kuzungumuzia kwa njia ya mufano mamlaka ya Yehova juu ya wanadamu, Maandiko yanaonyesha kwamba Yehova ni ‘mufinyanzi wetu.’ (Isa. 64:8) Habari hii inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kutokana na namna ambavyo Mufinyanzi Mukubwa amefinyanga mutu mumoja-mumoja na mataifa fulani wakati wa zamani. Tena inazungumuzia namna gani tunaweza kufaidika tunapofinyangwa na Yehova leo.

HABARI ZINGINE

3 Kumutii Yehova Kumeniletea Baraka Nyingi

22 Maulizo ya Wasomaji Wetu

29 Wazee—Je, Mutaburudisha ‘Nafsi Zilizochoka’?

32 Je, Unakumbuka?

JALADA: Mahubiri ya barabarani katika Francfort, Alemanye

ALEMANYE

HESABU YA WATU

81 751 600

HESABU YA WAHUBIRI

162 705

MAFUNZO YA BIBLIA

74 466

WALIOHUZURIA UKUMBUSHO KATIKA 2012

265 407

[Muchoro kwenye ukurasa wa 2]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine