Habari Zilizo Ndani
15/06/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 05-11/08/2013
Tupendezwe Sana na Sifa za Yehova
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 69, 89
TAREHE 12-18/08/2013
Yehova Ni Mukarimu na Mwenye Usawaziko
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 22, 110
TAREHE 19-25/08/2013
Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 63, 77
TAREHE 26/08–01/09/2013
Acha Nizamu ya Yehova Ikufinyange
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 120, 64
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Tupendezwe Sana na Sifa za Yehova
▪ Yehova Ni Mukarimu na Mwenye Usawaziko
▪ Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe
Wakristo wengi wanafikiri kwamba Yehova ana sifa ine kubwa tu. Lakini habari tatu hizo zitatusaidia tupendezwe sana na sifa nyingine nyingi za Yehova ambazo tunajifunza mara chache. Tutakapozungumuzia sifa fulani, tutaona kwanza maana ya sifa hiyo, kisha, namna Yehova anavyoionyesha, na mwishowe namna tunavyoweza kumuiga Yehova kwa kuonyesha sifa hiyo.
▪ Acha Nizamu ya Yehova Ikufinyange
Ili kuzungumuzia kwa njia ya mufano mamlaka ya Yehova juu ya wanadamu, Maandiko yanaonyesha kwamba Yehova ni ‘mufinyanzi wetu.’ (Isa. 64:8) Habari hii inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kutokana na namna ambavyo Mufinyanzi Mukubwa amefinyanga mutu mumoja-mumoja na mataifa fulani wakati wa zamani. Tena inazungumuzia namna gani tunaweza kufaidika tunapofinyangwa na Yehova leo.
HABARI ZINGINE
3 Kumutii Yehova Kumeniletea Baraka Nyingi
29 Wazee—Je, Mutaburudisha ‘Nafsi Zilizochoka’?
JALADA: Mahubiri ya barabarani katika Francfort, Alemanye
ALEMANYE
HESABU YA WATU
81 751 600
HESABU YA WAHUBIRI
162 705
MAFUNZO YA BIBLIA
74 466
WALIOHUZURIA UKUMBUSHO KATIKA 2012
265 407