Habari Zilizo Ndani
15/11/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 30/12/2013–05/01/2014
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 67, 81
TAREHE 6-12/01/2014
Endelea Kuonyesha ‘Mutazamo wa Kungojea’
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 119, 32
TAREHE 13-19/01/2014
Ni Nani Walio Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Leo?
UKURASA WA 16 • NYIMBO: 43, 123
TAREHE 20-26/01/2014
Tii Wachungaji Ambao Yehova Ametutolea
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 125, 122
TAREHE 27/01–02/02/2014
Wachungaji, Muige Wachungaji Wakubwa Zaidi
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 5, 84
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ ‘Kesha Kuhusiana na Sala’
Kwa kuwa mwisho wa ulimwengu muovu wa Shetani unakaribia, huu si wakati wa kulala usingizi kiroho. Habari hii inaonyesha namna gani kukesha kuhusiana na sala kunaweza kutusaidia tuendelee kuwa macho.
▪ Endelea Kuonyesha ‘Mutazamo wa Kungojea’
Katika habari hii, tutazungumuzia mambo tunayoweza kujifunza kutokana na uvumilivu wa nabii Mika. Chunguza matukio yatakayoonyesha kwamba mwisho unakaribia. Ona pia namna tunaweza kuonyesha kwamba tunasamini uvumilivu wa Mungu.
▪ Ni Nani Walio Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Leo?
Masimulizi kuhusu Senakeribu aliyeshambulia Yerusalemu katika siku za Hezekia yanaweza kutufundisha mambo mengi. Habari hii ni ya maana, zaidi sana kwa wale ambao wamepewa daraka la kulichunga kutaniko.
▪ Tii Wachungaji Ambao Yehova Ametutolea
▪ Wachungaji, Muige Wachungaji Wakubwa Zaidi
Habari ya kwanza inazungumuzia namna Yehova na Yesu wanachunga kondoo wao walio duniani na inaonyesha namna sisi kondoo tunapaswa kuona uchungaji wao. Habari ya pili inazungumuzia namna wazee wanapaswa kujiendesha wanapochunga kutaniko.
JALADA: Mahubiri ya barabarani mahali pa kungojea treni katika muji wa Tokyo. Wafanyakazi zaidi ya milioni 2.8 wanaenda kutumikia Tokyo kila siku. Mipango inaendelea kufanywa ili kuwafikishia habari njema wale wasiopatikana nyumbani kwao
JAPANI
WATU:
126 536 000
WAHUBIRI:
216 692
MAPAINIA WA KAWAIDA:
65 245