Habari Zilizo Ndani
15/12/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 03-09/02/2014
Usiache Akili Yako ‘Itikiswe’ kwa Urahisi
UKURASA WA 6 • NYIMBO: 65, 59
TAREHE 10-16/02/2014
Je, Utajitoa kwa Ajili ya Ufalme?
UKURASA WA 11 • NYIMBO: 40, 75
TAREHE 17-23/02/2014
“Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 109, 18
TAREHE 24/02–02/03/2014
‘Mufanye Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 99, 8
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Usiache Akili Yako ‘Itikiswe’ kwa Urahisi
Ni jambo la maana tusijiache kudanganywa kwa kuamini mawazo yenye mashaka na mambo ya kuwazia-wazia tu! Kitabu cha Wathesalonike wa Kwanza na wa Pili kinatutolea maonyo kwa wakati unaofaa.
▪ Je, Utajitoa kwa Ajili ya Ufalme?
Inafaa kujitoa ili kusaidia kazi ya Ufalme isonge mbele. Katika habari hii, tutaona mambo tunayoweza kujifunza kutokana na zabihu zilizofanywa zamani katika Israeli. Tutazungumuzia pia mifano ya wengi wanaojitoa leo ili kutegemeza kazi ya Ufalme.
▪ “Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”
▪ ‘Mufanye Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’
Wakristo wa kweli wanafanya Ukumbusho wa kifo cha Yesu kwa wakati uleule ambao Wayahudi walikuwa wanasherehekea Pasaka. Sababu gani tunapaswa kujifunza kuhusu Pasaka? Tunafikia namna gani kujua tarehe ya Ukumbusho, na tukio hilo lina maana gani kwetu?
HABARI ZINGINE
JALADA: Si rahisi kabisa kupata njia ili kuwafikia watu wanaoishi hapa na pale katika milima yenye mawe; kuna mawe makubwa-makubwa juu ya milima fulani. Lakini ndugu na dada wanajikaza kuwatembelea watu katika Milima ya Maboto, huko Matabeleland, Zimbabwe
ZIMBABWE
WATU:
12759565
WAHUBIRI:
40034
MAFUNZO YA BIBLIA:
90894
Watu wengi wanafurahia kusoma vichapo vyetu huko Zimbabwe. Kila Shahidi anatolea watu magazeti 16 hivi kila mwezi