Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 15/1 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 15/1 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/01/2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 03-09/03/2014

Tumuabudu Yehova, Mufalme wa Umilele

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 106, 46

TAREHE 10-16/03/2014

Ufalme wa Masiya Umetimiza Nini Katika Miaka Hii 100?

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 97, 101

TAREHE 17-23/03/2014

Kijana, Chukua Maamuzi Yenye Hekima

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 41, 89

TAREHE 24-30/03/2014

Mutumikie Yehova Mbele ya Siku Zenye Musiba

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 54, 17

TAREHE 31/03–06/04/2014

‘Ufalme Wako Uje’​—Lakini, Utakuja Wakati Gani?

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 108, 30

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Tumuabudu Yehova, Mufalme wa Umilele

Habari hii itaonyesha kwamba Yehova ni Mufalme tangu zamani na itatuonyesha namna gani ametawala viumbe wake wa mbinguni na duniani. Pia, itatutia moyo tufuate mifano ya watu wa zamani ambao walichagua kumuabudu Yehova, Mufalme wa umilele.

▪ Ufalme wa Masiya Umetimiza Nini Katika Miaka Hii 100?

Habari hii itatusaidia tusamini zaidi mambo ambayo Ufalme wa Masiya umetimiza katika miaka hii 100 ya kwanza. Pia, itatia moyo kila mumoja wetu kuwa raia mwaminifu wa Ufalme huo, na itatuchochea tutafakari zaidi kuhusu maana kamili ya andiko letu la mwaka wa 2014.

▪ Kijana, Chukua Maamuzi Yenye Hekima

▪ Mutumikie Yehova Mbele ya Siku Zenye Musiba

Nitatumia maisha yangu namna gani? Hilo ni ulizo la maana kwa kila mutu ambaye amekwisha kujitoa kwa Yehova. Katika habari hizi, tutazungumuzia kanuni zinazoweza kusaidia vijana Wakristo wachukue maamuzi mazuri kuhusu kumutumikia Mungu kwa moyo wao wote, na vilevile namna Wakristo wenye umri mukubwa wanaweza kupanua utumishi wao.

▪ ‘Ufalme Wako Uje’—Lakini, Utakuja Wakati Gani?

Watu wengi leo wanakengeushwa na hali za ulimwengu ao wanatafuta tu faida zao wenyewe. Habari hii inazungumuzia mambo matatu yanayotufanya tuwe hakika kwamba karibuni Ufalme wa Mungu utaharibu ulimwengu huu muovu.

HABARI ZINGINE

3 Walijitoa kwa Kujipendea​—Katika Afrika Mangaribi

32 Uamuzi Niliochukua Nilipokuwa Kijana Mudogo

JALADA: Kuhubiria wanafunzi wa masomo ya juu ambao wametoka katika inchi zingine ili kusomea katika muji wa Lviv

UKRAINI

WATU

45 561 000

WAHUBIRI

150 887

Kuna makutaniko 1 737 na vikundi 373 vinavyotumia luga 15 kutia ndani Kihungaria, Kiromania, Kirusi, Luga ya Ishara ya Urusi, na Kiukraini

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine