Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 15/4 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 15/4 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

April 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 02-08/06/2014

Tuige Imani ya Musa

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 33, 133

TAREHE 09-15/06/2014

Unamuona “Yeye Asiyeonekana”?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 81, 132

TAREHE 16-22/06/2014

Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 62, 106

TAREHE 23-29/06/2014

Usiogope—Yehova Atakusaidia!

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 22, 95

TAREHE 30/06/2014–06/07/2014

Unafurahia Namna Yehova Anavyokuchunguza?

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 69, 120

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Tuige Imani ya Musa

▪ Unamuona “Yeye Asiyeonekana”?

Kwa imani, Musa aliweza kuona mbali kuliko kuona tu mambo yanayoonekana na macho ya mwanadamu. Habari hizi zitazungumuzia namna tunaweza kuonyesha imani kama ile ya Musa na kuendelea kuwa ‘imara kama mutu anayemuona Yeye asiyeonekana.’—Ebr. 11:27.

▪ Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili

▪ Usiogope—Yehova Atakusaidia!

Watu wengi katika ulimwengu wote wanaamua kuhamia katika inchi zingine ili kutafuta kazi. Wengi wanaacha bibi ao bwana na watoto. Habari hizi zitatusaidia kuelewa namna Yehova anataka tuone madaraka ya familia na namna gani anaweza kutusaidia kuyatimiza.

▪ Unafurahia Namna Yehova Anavyokuchunguza?

Tunaposoma katika Biblia kwamba “macho ya Yehova yako kila mahali,” wengi kati yetu wanafikiri kwamba Mungu anatuchunguza ili kuona ikiwa tunashika amri zake ao hapana, na hilo linaweza kutufanya tuogope. (Met. 15:3) Lakini, habari hii itazungumuzia njia tano zinazoonyesha namna Yehova anatuchunguza kwa sababu anatupenda.

HABARI ZINGINE

13 Mahali Ambapo Utumishi wa Wakati Wote Umeniongoza

32 Je, Ulijua?

JALADA: Katika Istanbul Shahidi mumoja anamuhubiria mutu anayemukata nywele, hata kama hakupanga kuhubiri, anamutolea broshua Habari Njema

UTURUKI (TURQUIE)

WATU

75 627 384

WAHUBIRI

2 312

MAFUNZO YA BIBLIA

1 632

SHAHIDI MUMOJA

ANAPASWA KUWAHUBIRI WATU 32 711

TANGU MWAKA WA 2004 HESABU YA MAPAINIA WA KAWAIDA KATIKA UTURUKI IMEONGEZEKA KWA ASILIMIA

165 (165%)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine