Habari Zilizo Ndani
April 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 02-08/06/2014
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 33, 133
TAREHE 09-15/06/2014
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 81, 132
TAREHE 16-22/06/2014
Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 62, 106
TAREHE 23-29/06/2014
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 22, 95
TAREHE 30/06/2014–06/07/2014
Unafurahia Namna Yehova Anavyokuchunguza?
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 69, 120
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Tuige Imani ya Musa
▪ Unamuona “Yeye Asiyeonekana”?
Kwa imani, Musa aliweza kuona mbali kuliko kuona tu mambo yanayoonekana na macho ya mwanadamu. Habari hizi zitazungumuzia namna tunaweza kuonyesha imani kama ile ya Musa na kuendelea kuwa ‘imara kama mutu anayemuona Yeye asiyeonekana.’—Ebr. 11:27.
▪ Hauwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili
▪ Usiogope—Yehova Atakusaidia!
Watu wengi katika ulimwengu wote wanaamua kuhamia katika inchi zingine ili kutafuta kazi. Wengi wanaacha bibi ao bwana na watoto. Habari hizi zitatusaidia kuelewa namna Yehova anataka tuone madaraka ya familia na namna gani anaweza kutusaidia kuyatimiza.
▪ Unafurahia Namna Yehova Anavyokuchunguza?
Tunaposoma katika Biblia kwamba “macho ya Yehova yako kila mahali,” wengi kati yetu wanafikiri kwamba Mungu anatuchunguza ili kuona ikiwa tunashika amri zake ao hapana, na hilo linaweza kutufanya tuogope. (Met. 15:3) Lakini, habari hii itazungumuzia njia tano zinazoonyesha namna Yehova anatuchunguza kwa sababu anatupenda.
JALADA: Katika Istanbul Shahidi mumoja anamuhubiria mutu anayemukata nywele, hata kama hakupanga kuhubiri, anamutolea broshua Habari Njema
UTURUKI (TURQUIE)
WATU
75 627 384
WAHUBIRI
2 312
MAFUNZO YA BIBLIA
1 632
SHAHIDI MUMOJA
ANAPASWA KUWAHUBIRI WATU 32 711
TANGU MWAKA WA 2004 HESABU YA MAPAINIA WA KAWAIDA KATIKA UTURUKI IMEONGEZEKA KWA ASILIMIA
165 (165%)