Habari Zilizo Ndani
June 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 4-100/8/2014
‘Lazima Umupende Yehova Mungu Wako’
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 3, 65
TAREHE 11-17/08/2014
‘Mupende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe’
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 84, 72
TAREHE 18-24/08/2014
Maoni ya Yehova Juu ya Uzaifu wa Wanadamu
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 77, 79
TAREHE 25-31/08/2014
Tuwasaidie Wengine Watumie Uwezo Wao Wote
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 42, 124
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ “Lazima Umupende Yehova Mungu Wako”
▪ “Mupende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe”
Habari hizi zinazungumuzia amri mbili kubwa zaidi za Sheria ambazo Yesu Kristo alitaja. Jifunze yale ambayo Yesu alimaanisha aliposema kwamba tunapaswa kumupenda Yehova kwa moyo wetu wote, kwa nafsi yetu yote, na kwa akili yetu yote. Zinazungumuzia pia jambo tunaloweza kufanya ili kuonyesha kwamba tunamupenda jirani yetu kama sisi wenyewe.
▪ Maoni ya Yehova Juu ya Uzaifu wa Wanadamu
▪ Tuwasaidie Wengine Watumie Uwezo Wao Wote
Namna gani tunaweza kuwasaidia wale ambao wamevunjika moyo kwa sababu ya uzaifu fulani? Hilo ni moja kati ya mambo yanayozungumuziwa katika habari hizi. Habari hizi zinazungumuzia pia namna ya kusaidia vijana ao wale ambao wamebatizwa hivi karibuni watumie uwezo wao wote.
HABARI ZINGINE
3 Fanya Njia ya Miguu Yako Iwe ‘Laini’ iliUfanye Maendeleo
8 Namna ya Kusaidia Ndugu na Dada AmbaoNdoa Zao Zimevunjika
22 Unakumbuka?
JALADA: Kwenye Mutoni Okavango huko Botswana, wavuvi wanaozungumuza luga ya Mbukushu wanahubiriwa habari njema
BOTSWANA
WATU
2021000
WAHUBIRI
2096
MAKUTANIKO
47
WALIOHUZURIA UKUMBUSHO KATIKA MWAKA WA 2013
5735