Habari zilizo Ndani
July 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 01-07/09/2014
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 63, 66
TAREHE 08-14/09/2014
Watu wa Yehova ‘Wanakataa Ukosefu wa Haki’
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 64, 61
TAREHE 15-21/09/2014
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 31, 92
TAREHE 22-28/09/2014
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 102, 103
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ “Yehova Anawajua Walio Wake”
▪ Watu wa Yehova ‘Wanakataa Ukosefu wa Haki’
Habari hizi zinaeleza maana ya maneno ambayo tunasoma katika 2 Timotheo 2:19, na zinaonyesha namna andiko hilo linahusiana na mambo yaliyotokea wakati wa Musa. Ona namna leo Wakristo wanaweza kuonyesha kama wao ni watu wa Yehova na kama ‘wanakataa ukosefu wa haki.’
▪ “Ninyi Ni Mashahidi Wangu”
▪ ‘Mutakuwa Mashahidi Wangu’
Katika habari hizi tutazungumuzia sababu gani tunaitwa Mashahidi wa Yehova. Tutaona namna kujivunia pendeleo letu la kutoka ushahidi juu ya Yehova na Yesu kunatuchochea kuwa na bidii katika kazi yetu ya kuhubiri na kuletea Mungu na Kristo utukufu kupitia mwenendo wetu muzuri.
HABARI ZINGINE
JALADA: Dada wawili wanatumia kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini? ili kuhubiria wanawake Wandebele ambao wanavaa nguo za kwao. Wanakaa mbele ya nyumba ya kiasili katika maeneo ya mashambani. Hesabu ya Wandebele ni 1010000 tu kati ya wakaaji 50500000
AFRIKA KUSINI
WATU
50500000
WAHUBIRI
94101
WAHUBIRI WENYE KUZUNGUMUZA LUGA YA NDEBELE
1003