Habari Zilizo Ndani
Mwezi wa 8, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 29/09/2014-05/10/2014
Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova
UKURASA 6 • WIMBO: 86, 104
TAREHE 6-12/10/2014
Neno la Mungu Liko Hai!—Ulitumie
UKURASA 11 • WIMBO: 114, 101
TAREHE 13-19/10/2014
Yehova Anatukaribia Namna Gani?
UKURASA 16 • WIMBO: 51, 91
TAREHE 20-26/10/2014
Sikiliza Sauti ya Yehova Popote Ulipo
UKURASA 21 • WIMBO: 26, 89
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova
Habari hii inazungumuzia matokeo ambayo kumuasi Mungu kumewaletea wanaume na wanawake. Chunguza mifano ya watu fulani wa zamani ambao walimuogopa Mungu. Ona pia kusudi la Mungu juu ya wanawake leo.
▪ Neno la Mungu Liko hai!—Ulitumie
Kila muhubiri wa Ufalme anataka kupata matokeo mazuri katika mahubiri. Tuchunguze mapendekezo fulani yenye kufaa kuhusu namna ya kutumia Biblia pamoja na trakte zetu ili kuanzisha mazungumuzo na watu, na pia namna ya kuwagusa moyo kupitia Neno la Yehova lililo hai.
▪ Yehova Anatukaribia Namna Gani?
Tunahitaji kuwa na urafiki wa pekee pamoja na Muumbaji wetu. Tutaona namna zabihu ya ukombozi na Biblia inaonyesha kwamba Yehova amechukua hatua ili kutuvuta kwake.
▪Sikiliza Sauti ya Yehova Popote Ulipo
Ili tutembee katika njia ya ukweli, tunapaswa kusikiliza yale ambayo Yehova anasema. Tuone namna tunaweza kusikiliza sauti ya Yehova ijapokuwa tunashawishiwa na Shetani na hali yetu ya kutokamilika kwetu. Habari hii itatusaidia tuone kwamba kuzungumuza na Mungu ni jambo la lazima sana na la kuchukua kwa uzito.
JALADA: Dada wanahubiri katika luga ya Kirusi wanapofanya matembezi huko Tel-Aviv. Nyuma yao kuna vilima vyenye majiwe mahali panapoitwa Jaffa, ambapo zamani palikuwa bandari Yopa
ISRAELI
WATU
8050000
HESABU YA JUU YA WAHUBIRI KATIKA 2013
1459
HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO WA 2013
2671