Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 15/8 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • GAZETI LA FUNZO
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 15/8 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

Mwezi wa 8, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

GAZETI LA FUNZO

TAREHE 29/09/2014-05/10/2014

Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova

UKURASA 6 • WIMBO: 86, 104

TAREHE 6-12/10/2014

Neno la Mungu Liko Hai!—Ulitumie

UKURASA 11 • WIMBO: 114, 101

TAREHE 13-19/10/2014

Yehova Anatukaribia Namna Gani?

UKURASA 16 • WIMBO: 51, 91

TAREHE 20-26/10/2014

Sikiliza Sauti ya Yehova Popote Ulipo

UKURASA 21 • WIMBO: 26, 89

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Daraka la Wanawake Katika Mupango wa Yehova

Habari hii inazungumuzia matokeo ambayo kumuasi Mungu kumewaletea wanaume na wanawake. Chunguza mifano ya watu fulani wa zamani ambao walimuogopa Mungu. Ona pia kusudi la Mungu juu ya wanawake leo.

▪ Neno la Mungu Liko hai!—Ulitumie

Kila muhubiri wa Ufalme anataka kupata matokeo mazuri katika mahubiri. Tuchunguze mapendekezo fulani yenye kufaa kuhusu namna ya kutumia Biblia pamoja na trakte zetu ili kuanzisha mazungumuzo na watu, na pia namna ya kuwagusa moyo kupitia Neno la Yehova lililo hai.

▪ Yehova Anatukaribia Namna Gani?

Tunahitaji kuwa na urafiki wa pekee pamoja na Muumbaji wetu. Tutaona namna zabihu ya ukombozi na Biblia inaonyesha kwamba Yehova amechukua hatua ili kutuvuta kwake.

▪Sikiliza Sauti ya Yehova Popote Ulipo

Ili tutembee katika njia ya ukweli, tunapaswa kusikiliza yale ambayo Yehova anasema. Tuone namna tunaweza kusikiliza sauti ya Yehova ijapokuwa tunashawishiwa na Shetani na hali yetu ya kutokamilika kwetu. Habari hii itatusaidia tuone kwamba kuzungumuza na Mungu ni jambo la lazima sana na la kuchukua kwa uzito.

HABARI ZINGINE

3 Unapata‘Chakula kwa Wakati Unaofaa’?

26 ‘Rudi ili Uwatie NguvuNdugu Zako’

29 Maulizo ya Wasomaji Wetu

31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu

JALADA: Dada wanahubiri katika luga ya Kirusi wanapofanya matembezi huko Tel-Aviv. Nyuma yao kuna vilima vyenye majiwe mahali panapoitwa Jaffa, ambapo zamani palikuwa bandari Yopa

ISRAELI

WATU

8050000

HESABU YA JUU YA WAHUBIRI KATIKA 2013

1459

HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO WA 2013

2671

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine