Habari Zilizo Ndani
15/10/2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 1-7/12/2014
Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 108, 129
TAREHE 8-14/12/2014
UKURASA WA 13 • NYIMBO: 98, 102
TAREHE 15-21/12/2014
Furahia Pendeleo Lako la Kutumika Pamoja na Yehova”!
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 120, 44
TAREHE 22-28/12/2014
‘Muendelee Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo juu’
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 70, 57
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme
▪ Mutakuwa “Ufalme wa Makuhani”
Yehova anatumia Ufalme wa Masiya ili kutimiza kusudi lake kwa ajili ya dunia na kwa ajili ya wanadamu. Kuchunguza maagano mbalimbali ambayo yanazungumuziwa katika Biblia na ambayo yanahusiana na Ufalme huo kutatusaidia tukuwe na imani yenye nguvu katika serikali hiyo ya mbinguni.
▪ Furahia Pendeleo Lako la Kutumika Pamoja na Yehova
Katika habari hii tutazungumuzia mifano ya watumishi wa Yehova wa zamani na wa leo. Mifano hiyo itatusaidia tupende zaidi pendeleo letu la kutumika pamoja na Mungu wetu, na itatusaidia kufurahia kabisa pendeleo hilo.
▪ ‘Muendelee Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo juu’
Katika siku hizi za mwisho, tunapambana na mambo mengi ambayo yanajaribu imani yetu. Wanaume waaminifu wa zamani kama vile Abrahamu na Musa walipambana pia na majaribu kama hayo. Mifano yao inaweza kutufundisha nini? Habari hii itatusaidia kuvumilia kwa sababu itatutia moyo tuendelee kukaza akili zetu juu ya Yehova Mungu na juu ya Ufalme wake.
HABARI ZINGINE
JALADA: Kusini mwa Kenya, karibu na milima ya Mbololo, dada wawili wanahubiria wapita-njia kwenye barabara kubwa ya muji wa Tausa, katika Wilaya ya Taita
KENYA
WATU
44250000
WAHUBIRI
26060
MAFUNZO YA BIBLIA
43034
HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO WA 2013
60166