Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 15/10 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • GAZETI LA FUNZO
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 15/10 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/10/2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

GAZETI LA FUNZO

TAREHE 1-7/12/2014

Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 108, 129

TAREHE 8-14/12/2014

Mutakuwa “Ufalme wa Makuhan”

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 98, 102

TAREHE 15-21/12/2014

Furahia Pendeleo Lako la Kutumika Pamoja na Yehova”!

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 120, 44

TAREHE 22-28/12/2014

‘Muendelee Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo juu’

UKURASA WA 28 • NYIMBO: 70, 57

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme

▪ Mutakuwa “Ufalme wa Makuhani”

Yehova anatumia Ufalme wa Masiya ili kutimiza kusudi lake kwa ajili ya dunia na kwa ajili ya wanadamu. Kuchunguza maagano mbalimbali ambayo yanazungumuziwa katika Biblia na ambayo yanahusiana na Ufalme huo kutatusaidia tukuwe na imani yenye nguvu katika serikali hiyo ya mbinguni.

▪ Furahia Pendeleo Lako la Kutumika Pamoja na Yehova

Katika habari hii tutazungumuzia mifano ya watumishi wa Yehova wa zamani na wa leo. Mifano hiyo itatusaidia tupende zaidi pendeleo letu la kutumika pamoja na Mungu wetu, na itatusaidia kufurahia kabisa pendeleo hilo.

▪ ‘Muendelee Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo juu’

Katika siku hizi za mwisho, tunapambana na mambo mengi ambayo yanajaribu imani yetu. Wanaume waaminifu wa zamani kama vile Abrahamu na Musa walipambana pia na majaribu kama hayo. Mifano yao inaweza kutufundisha nini? Habari hii itatusaidia kuvumilia kwa sababu itatutia moyo tuendelee kukaza akili zetu juu ya Yehova Mungu na juu ya Ufalme wake.

HABARI ZINGINE

3 Walijitoa kwa Kujipendea—Katika Taïwan

18 Matukio ya Maana Sana Katika Utumishi Wangu

JALADA: Kusini mwa Kenya, karibu na milima ya Mbololo, dada wawili wanahubiria wapita-njia kwenye barabara kubwa ya muji wa Tausa, katika Wilaya ya Taita

KENYA

WATU

44250000

WAHUBIRI

26060

MAFUNZO YA BIBLIA

43034

HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO WA 2013

60166

[Muchoro kwenye ukurasa wa 2]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine