Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w14 15/11 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa Vidogo
  • GAZETI LA FUNZO
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 15/11 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/11/2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

GAZETI LA FUNZO

TAREHE 29/12/2014–4/01/2015

Ufufuo wa Yesu Una Maana Gani Kwetu?

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 5, 60

TAREHE 5-11/01/2015

Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Watakatifu

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 119, 17

TAREHE 12-18/01/2015

Tunapaswa Kuwa Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 65, 106

TAREHE 19-25/01/2015

“Watu Ambao Mungu wao Ni Yehova”

UKURASA WA 18 • NYIMBO: 46, 63

TAREHE 26/01–1/02/2015

“Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 112, 101

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ Ufufuo wa Yesu Una Maana Gani Kwetu?

Katika habari hii tutaona sababu gani tunapaswa kuwa hakika kwamba Yesu alifufuliwa na kwamba leo anaishi. Tutaona pia namna gani kufufuliwa kwa Yesu na kupewa uzima usioweza kufa huko mbinguni kunaweza kuwa na matokeo juu yetu na juu ya kazi yetu ya kuhubiri.

▪ Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Watakatifu

▪ Tunapaswa Kuwa Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote

Habari hizi mbili, zinategemea sana kitabu cha Mambo ya Walawi, na zinaonyesha sababu gani Yehova anaomba watu wake wakuwe watakatifu na namna gani tunaweza kuonyesha sifa hiyo. Tutachunguza pia ni katika njia gani tunaweza kuonyesha kwamba tuko watakatifu katika mwenendo wetu wote.

▪ “Watu Ambao Mungu wao Ni Yehova”

▪ “Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”

Watu fulani wenye tunajifunza nao Biblia wanaona kwamba ni vigumu kuelewa kwamba Yehova iko na tengenezo moja tu duniani. Wanafikiri kwamba Mungu anapendezwa na watu wenye wanamutumikia kwa moyo wote, hata kama wako katika dini gani. Habari hizi zitaonyesha sababu gani ni jambo la lazima kutambua watu wa Mungu na kumutumikia Yehova pamoja nao.

HABARI ZINGINE

28 Maulizo ya Wasomaji Wetu

31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu

JALADA: Wahubiri wa Ufalme wanahubiri katika Santiago de Cuba, muji mukubwa wa pili kwenye kisiwa cha Kuba, wenye kujulikana sana kwa sababu ya muziki na dansi za kyenyeji

KUBA

WATU

11163934

WAHUBIRI

96206

MAPAINIA WA KAWAIDA

9040

270 wahubiri viziwi wanaotumia Luga ya Ishara ya Kuba
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine