Habari Zilizo Ndani
15/11/2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 29/12/2014–4/01/2015
Ufufuo wa Yesu Una Maana Gani Kwetu?
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 5, 60
TAREHE 5-11/01/2015
Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Watakatifu
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 119, 17
TAREHE 12-18/01/2015
Tunapaswa Kuwa Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote
UKURASA WA 13 • NYIMBO: 65, 106
TAREHE 19-25/01/2015
“Watu Ambao Mungu wao Ni Yehova”
UKURASA WA 18 • NYIMBO: 46, 63
TAREHE 26/01–1/02/2015
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 112, 101
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Ufufuo wa Yesu Una Maana Gani Kwetu?
Katika habari hii tutaona sababu gani tunapaswa kuwa hakika kwamba Yesu alifufuliwa na kwamba leo anaishi. Tutaona pia namna gani kufufuliwa kwa Yesu na kupewa uzima usioweza kufa huko mbinguni kunaweza kuwa na matokeo juu yetu na juu ya kazi yetu ya kuhubiri.
▪ Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Watakatifu
▪ Tunapaswa Kuwa Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote
Habari hizi mbili, zinategemea sana kitabu cha Mambo ya Walawi, na zinaonyesha sababu gani Yehova anaomba watu wake wakuwe watakatifu na namna gani tunaweza kuonyesha sifa hiyo. Tutachunguza pia ni katika njia gani tunaweza kuonyesha kwamba tuko watakatifu katika mwenendo wetu wote.
▪ “Watu Ambao Mungu wao Ni Yehova”
▪ “Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”
Watu fulani wenye tunajifunza nao Biblia wanaona kwamba ni vigumu kuelewa kwamba Yehova iko na tengenezo moja tu duniani. Wanafikiri kwamba Mungu anapendezwa na watu wenye wanamutumikia kwa moyo wote, hata kama wako katika dini gani. Habari hizi zitaonyesha sababu gani ni jambo la lazima kutambua watu wa Mungu na kumutumikia Yehova pamoja nao.
JALADA: Wahubiri wa Ufalme wanahubiri katika Santiago de Cuba, muji mukubwa wa pili kwenye kisiwa cha Kuba, wenye kujulikana sana kwa sababu ya muziki na dansi za kyenyeji
KUBA
WATU
11163934
WAHUBIRI
96206
MAPAINIA WA KAWAIDA
9040