Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp16 na. 3 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu ana jina?
  • Jina la Mungu
    Amuka!—2017
  • Sababu Gani Tunapaswa Kulitumia Jina la Mungu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Jina la Mungu Ni Nani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
  • Jina la Mungu—Je, Inafaa Tulitumie? Maana ya Jina Hilo Ni Nini
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
wp16 na. 3 uku. 16
[Picha katika ukurasa wa 16]

Jina la Mungu (linaonyeshwa wazi) kama vile liko katika maandishi fulani ya zamani ya Biblia

Biblia Inasema Nini?

Mungu ana jina?

WATU FULANI WANASEMA kama hakuwake na jina, wengine wanasema kama jina lake ni Mungu ao Bwana, na wengine wanasema kama ana majina mengi sana. Wewe unawaza namna gani?

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Wewe, ambaye jina lako ni Yehova, Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.”—Zaburi 83:18.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Hata kama Mungu ana majina mengi ya cheo, amejipatia jina moja tu.—Kutoka 3:15.

  • Mungu haiko fumbo; anataka tumujue. —Matendo 17:27.

  • Kujua jina la Mungu linaweza kuwa jambo la kwanza la kufanya ili kuwa rafiki yake.—Yakobo 4:8.

Ni mubaya kutaja jina la Mungu?

UNAWEZA KUJIBU NINI?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Inalingana na hali

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa [ya mubaya].” (Kutoka 20:7) Ni mubaya kutumia jina la Mungu ikiwa tu ni kwa njia ya kukosa heshima.—Yeremia 29:9.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Yesu alijua jina la Mungu na alilitumia. —Yohana 17:25, 26.

  • Mungu anatuomba tumuite kwa jina lake. —Zaburi 105:1.

  • Maadui wa Mungu wanajikaza kufanya watu wasahau jina lake.—Yeremia 23:27.

Tafazali, munitumie kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini?

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 1 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org/swc

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine