Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp17 na. 1 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ni Mungu analeta mateso?
  • Mateso yataishaka?
  • Mambo Biblia Inasema Juu ya Mateso
    Amuka!—2015
  • Ulizo la 3: Sababu Gani Mungu Anaacha Niteseke?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Sababu Gani Mungu Anawaacha Watu Wateseke?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Mungu Anajisikia Namna Gani Juu ya Mateso Yako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
wp17 na. 1 uku. 16
Mwanamuke mumoja anabana nguvu sana mutoto wake mudogo wakati wa vita

Dunia inajaa mateso, lakini ni Mungu ndiye anayaleta?

Biblia Inasema Nini?

Ni Mungu analeta mateso?

Unaweza kujibu nini?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Pengine

Mambo Biblia inasema

“Mungu wa kweli asitende kwa uovu, na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!” (Ayubu 34:10) Mungu haletake mambo ya mubaya na mateso yenye tunaona katika dunia.

Biblia inatufundisha tena nini?

  • Shetani Ibilisi, ‘mutawala wa ulimwengu,’ ndiye analeta mateso mengi leo.—Yohana 14:30.

  • Mateso na mambo mengine ya mubaya yanatokea pia kwa sababu ya maamuzi ya mubaya yenye watu wanakamata.—Yakobo 1:14, 15.

Mateso yataishaka?

Watu fulani wanaamini kama wanadamu wanaweza kumaliza mateso ikiwa wanatumika pamoja, na wengine wanaona kama hali zenye kuwa katika dunia haziwezi kubadilika kabisa na kuwa za muzuri. Wewe unawaza namna gani?

Mambo Biblia inasema

Mungu atamaliza mateso yote. “Kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.”—Ufunuo 21:3, 4.

  • Biblia inatufundisha tena nini?

  • Mungu atatumia Yesu ili kumaliza mateso yenye Shetani analeta.​—1 Yohana 3:8.

▸ Watu wazuri wataishi kwa amani milele katika dunia.​—Zaburi 37:9-11, 29.

Ili kujua sababu gani Mungu anaruhusu mateso, soma sura ya 11 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine