Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 3-9/07/2017
3 Tusaidie “Wakaaji Wageni” ili ‘Wamutumikie Yehova kwa Furaha’
JUMA LA TAREHE 10-16/07/2017
8 Namna ya Kusaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni”
Habari ya kwanza inazungumuzia magumu yenye ndugu na dada wenye wamekuwa wakimbizi wanapambana nayo. Na inatoa mashauri yenye kufaa juu ya namna tunaweza kuwasaidia muzuri zaidi. Habari ya pili inazungumuzia namna kutumia kanuni za Biblia kutasaidia wazazi wenye wamehamia katika inchi ingine wakamate maamuzi yenye yataletea watoto wao faida.
13 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Kuwa Kiziwi Hakunizuie Kufundisha Wengine
JUMA LA TAREHE 17-23/07/2017
JUMA LA TAREHE 24-30/07/2017
Maisha katika ulimwengu huu muovu hayako mepesi kwa watumishi wa Yehova. Habari hizi mbili zinaonyesha namna tunaweza kupiganisha roho ya kujipenda wenyewe ya watu wa ulimwengu kwa kutia nguvu upendo wetu kwa Yehova, juu ya kweli ya Biblia, na kwa ndugu na dada zetu. Habari hizi zinazungumuzia pia namna tunaweza kumupenda Kristo kuliko vitu vingine vyote vya ulimwengu huu.
27 Namna Gayo Alisaidia Ndugu Zake