Habari za Kitheokrasi
Burundi: Makusanyiko mawili ya pekee yalifanyika mnamo Desemba iliyopita. Katika mji wa Bujumbura, kuliripotiwa hudhurio la watu 2,266 na waliobatizwa 102. Katika mji wa Nyabihanga, hudhurio lilikuwa la watu 636 kati yao 27 walionyesha wakfu wa utu wao kwa Yehova kwa njia ya ubatizo. Ni habari yenye kupendeza kwa sababu ya hali iliyopo hapa!